Makubaliano Kati ya Tanzania na Dubai ni Batili kwenye sheria za kimataifa

econonist

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
15,766
21,759
Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana ya kwamba Dubai sio sovereign state Kama jamhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa.

Mikataba ya kimataifa inaingiwa na Falme ya Kiarabu inayotambulika kwenye sheria za kimataifa na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE.

Hivyo naenda mahakamani kupinga mkataba huo au makubaliano hayo.
 
Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana ya kwamba Dubai sio sovereign state Kama jamhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa.

Mikataba ya kimataifa inaingiwa na Falme ya Kiarabu inayotambulika kwenye sheria za kimataifa na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE.

Hivyo naenda mahakamani kupinga mkataba huo au makubaliano hayo.
Mahakama hizi hizi za Ccm...?
 
Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana ya kwamba Dubai sio sovereign state Kama jamhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa.

Mikataba ya kimataifa inaingiwa na Falme ya Kiarabu inayotambulika kwenye sheria za kimataifa na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE.

Hivyo naenda mahakamani kupinga mkataba huo au makubaliano hayo.
Kila la heri
 
Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana ya kwamba Dubai sio sovereign state Kama jamhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa.

Mikataba ya kimataifa inaingiwa na Falme ya Kiarabu inayotambulika kwenye sheria za kimataifa na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE.

Hivyo naenda mahakamani kupinga mkataba huo au makubaliano hayo.

Kuna eneo lako la mwili linaumwa, Mungu huwa anawashughulikia hawa watu taratibu tu, hawatambi milele, waache na zuluma zao wakijinufaisha wenyewe.
 
Wanaoingia Ubia ni DP World na TPA.

Siyo nchi ya Dubai. Ni kampuni inayomilikiwa na serikali yake.

Usijisumbue.
Kwa mjadala wa leo ni kwamba mikataba yote itakuwa Chini ya hii agreement. Sasa swali ni kwamba Dubai ni nchi kimataifa au semiautonomous?
 
Hivi sisi tuna kampuni gani inayoendeshwa na serikali kwa maswala kama hayo!? Sio uzumbukuku huu kweli!
Uzumbukuku Kwa Sisi watanzania Kwa sababu hatuna kampuni kama hiyo?
Mbona kampuni hiyo IPO USA, UK, ujerumani na China?
Hizo nchi nazo mazumbukuku au unaongea kitu hukijui??
 
Mkataba Kati ya serikali ya Tanzania na Dubai ni batili kwenye sheria za kimataifa. Maana ya kwamba Dubai sio sovereign state Kama jamhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo haiwezi kuingia mikataba ya kimataifa.

Mikataba ya kimataifa inaingiwa na Falme ya Kiarabu inayotambulika kwenye sheria za kimataifa na sio Dubai ambayo ni sehemu ya UAE.

Hivyo naenda mahakamani kupinga mkataba huo au makubaliano hayo.
Umechelewa. Hakuna awezaye kuhoji tena huo mkataba baada ya bunge letu tukufu kuridhia.
 
Back
Top Bottom