Tanzania Kutumia COP 28 Dubai Kujitangaza

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
TANZANIA inatarajiwa kujitangaza kimataifa kupitia Mkutano wa 28 (COP 28) wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, utakaofanyika Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu kuanzia Novemba 28 hadi 12 Disemba 2023.
-
Hayo yamesemwa leo Novemba 11, 2023 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk. Selemani Saidi Jafo wakati akitoa tamko kuhusu ushiriki na msimamo wa Tanzania kwenye majadiliano ya mkutano huo.
-
Amewakaribisha wadau mbalimbali waliopo nchini kutumia fursa ya Mkutano wa COP28 kwa kuhakikisha nchi inaendelea kujitangaza na kuleta manufaa ya kijamii na kiuchumi kwa maendeleo ya wananchi.
-
Dk. Jafo amesema Tanzania imepanga kuendesha mkutano mkubwa wa pembezoni utakaowaleta pamoja Wakuu wa nchi na Serikali kutoka mataifa ya Afrika na mabara mengine pamoja na wadau mbalimbali kwa lengo la kuvutia wawekezaji katika fursa za mabadiliko ya tabianchi zilizopo nchini.
 
Very interesting....

Bei ya gesi juu
Bei ya umeme juu
Mafuta kila kukicha

Tabora mapori kwisha
Pwani Morogoro kwisha
Singida tuna malizia malizia

Mkaa kimbilio la maskini

Carbon hoyeee.....
 
TANZANIA inatarajiwa kujitangaza kimataifa kupitia Mkutano wa 28 (COP 28) wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi...
Natamani kumuona Mhe Jafo nimpe Ujumbe wa Shairi Nzuri la Karne kwa ajili ya Utunzaji wa Mazingira
Shairi lililotungwa na Watoto Waishio Mtaani.

(Mazingira Magumu)
 
Mkutano wa Mazingira tunaenda kujitangaza?
Sasa unataka tufanyeje? Mbona hela ya COVID tulijengea madarasa na vituo vya afya? Sisi ndio Tanzania.Huko tunatafuta wawekezaji,hatuna uwezo wa kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.
 
TANZANIA inatarajiwa kujitangaza kimataifa kupitia Mkutano wa 28 (COP 28) wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, utakaofanyika Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu kuanzia Novemba 28 hadi 12 Disemba 2023.
-
Hayo yamesemwa leo Novemba 11, 2023 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk. Selemani Saidi Jafo wakati akitoa tamko kuhusu ushiriki na msimamo wa Tanzania kwenye majadiliano ya mkutano huo.
-
Amewakaribisha wadau mbalimbali waliopo nchini kutumia fursa ya Mkutano wa COP28 kwa kuhakikisha nchi inaendelea kujitangaza na kuleta manufaa ya kijamii na kiuchumi kwa maendeleo ya wananchi.
-
Dk. Jafo amesema Tanzania imepanga kuendesha mkutano mkubwa wa pembezoni utakaowaleta pamoja Wakuu wa nchi na Serikali kutoka mataifa ya Afrika na mabara mengine pamoja na wadau mbalimbali kwa lengo la kuvutia wawekezaji katika fursa za mabadiliko ya tabianchi zilizopo nchini.
"Chema chajiuza, kibaya chajitangaza."

Ukiona Wawekezaji wa maana kutoka nchi zingine hawaji kuwekeza katika nchi yako ujue wazi kwamba "ndani ya nchi yako kuna tatizo kubwa sana, siyo bure."
 
TANZANIA inatarajiwa kujitangaza kimataifa kupitia Mkutano wa 28 (COP 28) wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, utakaofanyika Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu kuanzia Novemba 28 hadi 12 Disemba 2023.
-
Hayo yamesemwa leo Novemba 11, 2023 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk. Selemani Saidi Jafo wakati akitoa tamko kuhusu ushiriki na msimamo wa Tanzania kwenye majadiliano ya mkutano huo.
-
Amewakaribisha wadau mbalimbali waliopo nchini kutumia fursa ya Mkutano wa COP28 kwa kuhakikisha nchi inaendelea kujitangaza na kuleta manufaa ya kijamii na kiuchumi kwa maendeleo ya wananchi.
-
Dk. Jafo amesema Tanzania imepanga kuendesha mkutano mkubwa wa pembezoni utakaowaleta pamoja Wakuu wa nchi na Serikali kutoka mataifa ya Afrika na mabara mengine pamoja na wadau mbalimbali kwa lengo la kuvutia wawekezaji katika fursa za mabadiliko ya tabianchi zilizopo nchini.
Kuvutia wawekezaji kwa umeme wa mgao ambao hata hautoshelezi nchini..
Maigizo
 
Kujitangaza ni muhimu, lakini msisahau maisha ya Wanachi yenu.

Umeme unakata mauno kila mara (Nonsense).
 
Back
Top Bottom