Chabo na vichelema hukupitia hii experience?😂Kuhonga totozi , nikiwa na miaka 21 nilipiga pesa sana, na mwana ambae ndio alinifahamisha jf na humu yupo , kitu sitakaa nisahau nilihonga sana na kukodi magari , kufanya tambo laiti ningekua na akili za sasa hapa nilipo ningekua mbali zaidi
Hiyo hapana bwashee 😁Chabo na vichelema hukupitia hii experience?😂
Kuhonga totozi , nikiwa na miaka 21 nilipiga pesa sana, na mwana ambae ndio alinifahamisha jf na humu yupo , kitu sitakaa nisahau nilihonga sana na kukodi magari , kufanya tambo laiti ningekua na akili za sasa hapa nilipo ningekua mbali zaidi
Bwashee nikiwa na miaka 20 account yangu ilisoma mil 100 , bata na tambo za kijinga ziliniponza sana 😅 hiyo pesa niliitafuta kwa mdamfupi ila cha kushangaza ile akili ya kufosi hivyo sina tena😅Mimi nilikuwa mtu wa ibada sana kisa binti wa mchungaji😂
Hahaha ndio ukweli huo bwashee, amini kwambaView attachment 3642431
Chai ya maziwa tena ya baridi
Hahaha acha kabisa nikifunguka zaidi kuna nyumbu watasanuka😃Ulikuwa young millionaire
Nyeto mbona tunakula mpaka uzeeni bwasheenilikula sana nyeto ..hapa nilipo ni mlemavu wa mkono wa kushoto
tutazikwa nayo mangiNyeto mbona tunakula mpaka uzeeni bwashee
Ituue tu bwashee 😅tutazikwa nayo mangi