Makosa ya Umri wa Miaka 20

Makosa ya Umri wa Miaka 20

Makosa mawili.
1. kuolewa at 24years.
2. Kutokuwa na mahusiano binafsi na Mungu
Kuolewa 24 yrs unajutia nn?.

Au ulitaka uzoefu kidogo kazin kwa kuwa na mahusiano meng meng😊😊😊.

binafsi kuolewa ukiwa na umri mdogo sion shida. Hasa kama umepata mtu sahihi. Na ww uwe u ajiweza . Umesoma na una kipato chako.
 
Kuacha biashara yangu ndogo 2015 kwenda kwenye ajira ya mzungu. Haikumaliza mwaka ikafa, mshika mawili.

Ajira imetulisha bata sana na kutupa maisha wengine, kipengele ni kuwa eventually lazima nianze biashara upya hasa umri fulani ukifika.

Najutia nusu lakini.
 
Ni kosa gani la kifedha au kimaisha ulilofanya ukiwa kijana ambalo unatamani ungeliepuka?
Kununua Gari yangu ya Kwanza (ya kutembelea)...nikiwa na miaka 19...ilikuwa wakati wa kuchanua kwangu kiuchumi...gari ilifanya uchumi wangu ukasinyaa badala ya kuchanua!...Sitausahau mwaka 2008 kamwe!


Ushauri:
Vijana, unapokuwa na nafasi nzuri ya kiuchumi (unaingiza kipato kikubwa)...katika umri mdogo, Jaribu kutengeneza japo wazee wawili ama mmoja,(wanaojitambua) waliokuzidi umri...hata kama kiuchumi hawako vizuri...wawe marafiki zako...wa kukushauri katika nyanja ya kiuchumi na fursa zinazokuzunguka...utakuja-nishukuru baadae!

Nilikuwa na nafasi ya kuwekeza sana kipindi kile, fursa zilikuwa nyingi sana mahala nipokuwepo, nilikosa washauri wa kunizunguka..nilizungukwa na weka tuweke!(wala bata).
 
Kununua Gari yangu ya Kwanza (ya kutembelea)...nikiwa na miaka 19...ilikuwa wakati wa kuchanua kwangu kiuchumi...gari ilifanya uchumi wangu ukasinyaa badala ya kuchanua!...Sitausahau mwaka 2008 kamwe!


Ushauri:
Vijana, unapokuwa na nafasi nzuri ya kiuchumi (unaingiza kipato kikubwa)...katika umri mdogo, Jaribu kutengeneza japo wazee wawili ama mmoja,(wanaojitambua) waliokuzidi umri...hata kama kiuchumi hawako vizuri...wawe marafiki zako...wa kukushauri katika nyanja ya kiuchumi na fursa zinazokuzunguka...utakuja-nishukuru baadae!

Nilikuwa na nafasi ya kuwekeza sana kipindi kile, fursa zilikuwa nyingi sana mahala nipokuwepo, nilikosa washauri wa kunizunguka..nilizungukwa na weka tuweke!(wala bata).
Ushauri:
Vijana, unapokuwa na nafasi nzuri ya kiuchumi (unaingiza kipato kikubwa)...katika umri mdogo, Jaribu kutengeneza japo wazee wawili ama mmoja,(wanaojitambua) waliokuzidi umri...hata kama kiuchumi hawako vizuri...wawe marafiki zako...wa kukushauri katika nyanja ya kiuchumi na fursa zinazokuzunguka...utakuja-nishukuru baadae!💪🏿🙏🏿
 
Kuolewa 24 yrs unajutia nn?.

Au ulitaka uzoefu kidogo kazin kwa kuwa na mahusiano meng meng😊😊😊.

binafsi kuolewa ukiwa na umri mdogo sion shida. Hasa kama umepata mtu sahihi. Na ww uwe u ajiweza . Umesoma na una kipato chako.

Sio kweli mkuu, kinongo bongo asilimia kubwa ndoa ni limitations kwa mwanamke.

Ni muhimu u- exprole ndoto zako kabla hujaingia kwenye ndoa.
 
Kwa mitaala ya Tanzania, Kijana wa miaka 20 bado anakuwa shuleni hivyo kipato chao wengi kinakuwa tia maji tia maji i.e boom, pocket money n.k

Japo wapo wachache waliofanikiwa kuanza kuingiza kipato at their 20th
 
Kuolewa 24 yrs unajutia nn?.

Au ulitaka uzoefu kidogo kazin kwa kuwa na mahusiano meng meng😊😊😊.

binafsi kuolewa ukiwa na umri mdogo sion shida. Hasa kama umepata mtu sahihi. Na ww uwe u ajiweza . Umesoma na una kipato chako.
Kwa bahati mbaya sana waulize wengi wanajutia, ila sio wote wanaweza kukiri.
 
Kosa nililolifanya nikiwa na miaka 20+ ni kumuamin mwanamke ambaye niliamin kabsa kuwa ni mwanamke sahihi sana kwangu!

Nikiwa katka mahusiano nae (mkoa mmoja wilaya tofauti), kumbe mwenzangu kule ananipga matukio wakat huo mm nahudumia na kutoboka kwelikweli huku naishi kwa uaminifu sana!

Kufupisha stori; Nilimuoa ila nilikuja kugundua alinipga matukio mengi sana had kuniletea mimba isiyo yangu akidai yangu, nishazaa nae watoto wengne, bado pia anavitabia vingne vya ajabuajabu.

Hapa nilishamtunza tu nasubl nije nimbwage nivute pisi nyinge nianze maisha upya kabsa (watoto nitawachukua, ngoja wakue kidogo)!

Huwa inaniuma sana na najuta kumuamin na kumpa nafas huyu mwanamke, katka maisha yangu hayo ndo maamzi mabovu kabsa nimewah kufanya!
Pole,umeandika kwa hisia sana
 
Back
Top Bottom