Makosa ya Umri wa Miaka 20

Makosa ya Umri wa Miaka 20

Ni kosa gani la kifedha au kimaisha ulilofanya ukiwa kijana ambalo unatamani ungeliepuka?
Kosa la kimaisha ambalo nilifanya, kuanza kufanya mapenzi kabla ya ndoa. Huwa nikikumbuka moyo unaniuma sana, ningeweza ningejitunza kwa mala ya kwanza nikafanyia ndoani.. ila ndio basi tena
 
Back
Top Bottom