Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,121
- 165,970
KidondaNi kosa gani la kifedha au kimaisha ulilofanya ukiwa kijana ambalo unatamani ungeliepuka?
KidondaNi kosa gani la kifedha au kimaisha ulilofanya ukiwa kijana ambalo unatamani ungeliepuka?
Cha Kisu Cha Ngariba au cha futa?Kidonda
Ahaaa ngoja nione kama nikifika 30 nitajutia haya maamzi ninayofanya leo20+ no minus
Bwashee nikiwa na miaka 20 account yangu ilisoma mil 100 , bata na tambo za kijinga ziliniponza sana 😅 hiyo pesa niliitafuta kwa mdamfupi ila cha kushangaza ile akili ta kufosi hivyo sina tena😅
Acha kabisa , kitu nilifanikiwa ni kununua gari ambayo ilikuja nipa mtaji wa kupoteza mawazo bwasheeKwa huo umri na hyo pesa, hata usijilaumu mkuu.
Ni ngumu sna kuepuka mtego wa starehe.
Tafsiri ya picha mzee
Kukataa ualimu!Ni kosa gani la kifedha au kimaisha ulilofanya ukiwa kijana ambalo unatamani ungeliepuka?
Ni kosa gani la kifedha au kimaisha ulilofanya ukiwa kijana ambalo unatamani ungeliepuka?
PoleKosa nililolifanya nikiwa na miaka 20+ ni kumuamin mwanamke ambaye niliamin kabsa kuwa ni mwanamke sahihi sana kwangu!
Nikiwa katka mahusiano nae (mkoa mmoja wilaya tofauti), kumbe mwenzangu kule ananipga matukio wakat huo mm nahudumia na kutoboka kwelikweli huku naishi kwa uaminifu sana!
Kufupisha stori; Nilimuoa ila nilikuja kugundua alinipga matukio mengi sana had kuniletea mimba isiyo yangu akidai yangu, nishazaa nae watoto wengne, bado pia anavitabia vingne vya ajabuajabu.
Hapa nilishamtunza tu nasubl nije nimbwage nivute pisi nyinge nianze maisha upya kabsa (watoto nitawachukua, ngoja wakue kidogo)!
Huwa inaniuma sana na najuta kumuamin na kumpa nafas huyu mwanamke, katka maisha yangu hayo ndo maamzi mabovu kabsa nimewah kufanya!
Endelea nae,usiwe baba wa matabaka Kila mtoto na mama yake!Kosa nililolifanya nikiwa na miaka 20+ ni kumuamin mwanamke ambaye niliamin kabsa kuwa ni mwanamke sahihi sana kwangu!
Nikiwa katka mahusiano nae (mkoa mmoja wilaya tofauti), kumbe mwenzangu kule ananipga matukio wakat huo mm nahudumia na kutoboka kwelikweli huku naishi kwa uaminifu sana!
Kufupisha stori; Nilimuoa ila nilikuja kugundua alinipga matukio mengi sana had kuniletea mimba isiyo yangu akidai yangu, nishazaa nae watoto wengne, bado pia anavitabia vingne vya ajabuajabu.
Hapa nilishamtunza tu nasubl nije nimbwage nivute pisi nyinge nianze maisha upya kabsa (watoto nitawachukua, ngoja wakue kidogo)!
Huwa inaniuma sana na najuta kumuamin na kumpa nafas huyu mwanamke, katka maisha yangu hayo ndo maamzi mabovu kabsa nimewah kufanya!
Asante, japo bado sijapoa!Pole
Hapana, hizi tabia zingne ninazoziona sintatoboa, navumilia tu ili watoto wakue kidogoEndelea nae,usiwe baba wa matabaka Kila mtoto na mama yake!
Dah 😢🥹Asante, japo bado sijapoa!
Wanaudhi hawa viumbe!Hapana, hizi tabia zingne ninazoziona sintatoboa, navumilia tu ili watoto wakue kidogo