Makosa mawili ya rais Samia yanayotugharimu

Makosa mawili ya rais Samia yanayotugharimu

Sawa, kachukueni nchi nyie chadema basi kama hayupo.
Nje mada kidogo, hivi tone tone inaendeleaje huko makamanda wetu wa ukweli?!!!!!
Screenshot_20250613-122647~2.png
 
Mara 4R, Mara mardhiano....... haya yote ameshidwa na vigogo ndani ya CCM
Rais Samia sio malaika ni binadamu, kwenye binadamu, hakuna mkamilifu, hivyo anaruhusiwa kukosea. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Hakuna hata rais mmoja wa Tanzania ambaye hajawahi kukosea, na ukifanyika a comparison analysis, Rais Samia ndiye rais wa Tanzania mwenye makosa kidogo compared na wengine!.

P
 
Rais Samia sio malaika ni binadamu, kwenye binadamu, hakuna mkamilifu, hivyo anaruhusiwa kukosea. Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Hakuna hata rais mmoja wa Tanzania ambaye hajawahi kukosea, na ukifanyika a comparison analysis, Rais Samia ndiye rais wa Tanzania mwenye makosa kidogo compared na wengine!.

P

Bro,

Topic tofauti sasa najua rushwa inavyotolewa kwa kushirikiana na nchi za kiarabu lakini nikiamndika topic inafutwa haraka! Na hiyo ni conformation. Ukipata muda private nitakupa details
 
Back
Top Bottom