Oltung'anyi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 284
- 197
Kwanza, kukujibu kwa kuandika ujumbe huu ni ishara kuwa nipo. Pili, ninaweza kukuthibitishia kuwa nipo kwa kujiwasilisha mahali ambapo utahitaji Mimi niwepo. Kwa uchache, ninaweza kukujibu hivi.Unajua hayo maneno alishushiwa yule unayemsema hakujua kusoma wala kuandika ??[emoji16][emoji16][emoji16] au baniani mbaya kiatu chake dawa?!,[emoji16][emoji16]
Unasema mtu hawezi kumuelezea Mungu kama "free entity" lazima aelezewe kama "function" ya kitu kingine, hapa ninataka kukukumbusha kuwa vitu vyote ni function ya Mungu ni si kinyume chake.
Halafu swali digo tu nakupa, unaweza kuthibitisha "uwepo wako wewe binafsi?", kama unaweza naomba ufanye hivyo ili nione utajithibishaje wewe mwenyewe kama upo.
Mimi binadamu nisiye na uwezo wa kumfikia Mungu hata kwa chembe, ninasubiri Mungu ajirhibitishe kuwa yupo angalao kwa ujumbe mfupi au kwa kujiwasilisha.
Karibu kumwelezea Mungu, tuone kama siyo "function" ya hali na vitu. Hebu Fanya jaribio hili angalao umsaidie kumthibitisha kuwa yupo.