Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Mkuu Kiranga unaonyesha wazi aliyeendika hiyo quran alijisahau sasa mtu hushamziba asikujue una muhukumu vipi?


Kaka mkubwa naona umemnukuu Kiranga. Hapa ulitakiwa umuulize maswali yafuatayo.

1. Je baada ya kuisoma hiyo aya katika sura ya Pili iitwayo al Baqara,je alienda au alisoma maelezo ya hiyo aya katika kuielezea ?

2. Hili najua hana uwezo wa kulijibu sababu haijui Qur'an,je ipi sababu iliyofanya kuteremshwa kwa aya hiyo ?

3. Je aya kabla ya hiyo inasemaje na aya baada ya hiyo inasemaje ?

Halafu umuulize hivi yeye ana wajua hao walio zibwa masikio na moyo ?

Akikujibu haya maswali,ni tag kaka mkubwa.
 
Kaka mkubwa naona umemnukuu Kiranga. Hapa ulitakiwa umuulize maswali yafuatayo.

1. Je baada ya kuisoma hiyo aya katika sura ya Pili iitwayo al Baqara,je alienda au alisoma maelezo ya hiyo aya katika kuielezea ?

2. Hili najua hana uwezo wa kulijibu sababu haijui Qur'an,je ipi sababu iliyofanya kuteremshwa kwa aya hiyo ?

3. Je aya kabla ya hiyo inasemaje na aya baada ya hiyo inasemaje ?

Halafu umuulize hivi yeye ana wajua hao walio zibwa masikio na moyo ?

Akikujibu haya maswali,ni tag kaka mkubwa.

Unaweza kuelezea yote hayo.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Kaka mkubwa naona umemnukuu Kiranga. Hapa ulitakiwa umuulize maswali yafuatayo.

1. Je baada ya kuisoma hiyo aya katika sura ya Pili iitwayo al Baqara,je alienda au alisoma maelezo ya hiyo aya katika kuielezea ?

2. Hili najua hana uwezo wa kulijibu sababu haijui Qur'an,je ipi sababu iliyofanya kuteremshwa kwa aya hiyo ?

3. Je aya kabla ya hiyo inasemaje na aya baada ya hiyo inasemaje ?

Halafu umuulize hivi yeye ana wajua hao walio zibwa masikio na moyo ?

Akikujibu haya maswali,ni tag kaka mkubwa.

Kwanini ana waziba watu halafu ana wahukumu je hiyo halali?

Kwa mtazamo wako anafanya uadilifu huyo Allah?
 
Unaweza kuelezea yote hayo.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Hapa naona umekiri kama hujui na kwanini uongee juu ya vitu usivyo vijua ? Huoni kama unaikosea adabu elimu na watu wake ?


Vipi utakwepa kuwa na sifa ya uongo ?

Mwanachuoni mmoja simtaji kwa lengo la kulinda heshima yake,katika kitabu chake kiitwacho " Nasaha kwa watu wa Imani katika kuwajeruhi watu Mantiki ya Kiyunani" anasema hivi " Miongoni mwa misingi ya watu wa mantiki ni kuongea kauli bila ya elimu"

Kauli yake haitoki patupu na huu ndio ukweli ambao nauona kwenu na unadhihirika mara kwa mara. Kwanini msijifunze kwanza ndio mkatenda au kuongea ?

Sasa kwa ujinga wako na ujuaji mwingi swali hili silijibu.

Mwanachuoni mwengine kadhalika simtaji kwa kulinda heshima yake,katika kitabu chake kiitwacho "Misingi mitatu" anasema "Elimu kwanza kabla ya kauli na matendo".

Someni muache kujichoresha. Kama jambo hujui ukiza kwa wanao jua,na si aibu kutokujua jambo.
 
Unaweza kuelezea yote hayo.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Ungekuwa una akili salama usingeleta aya hii hapa,mpaka baada ya wewe kupata jibu la kwanini Allah anawaziba watu masikio,macho na mioyo ?

Lakini sababu hamkufunzwa adabu za elimu ndio maana mnafanya kazi mara mbili ?


Na mimi ninasema hivi "IKO WAPI MBINGU NA UKO WAPI MCHANGA ?"
 
Hapa naona umekiri kama hujui na kwanini uongee juu ya vitu usivyo vijua ? Huoni kama unaikosea adabu elimu na watu wake ?


Vipi utakwepa kuwa na sifa ya uongo ?

Mwanachuoni mmoja simtaji kwa lengo la kulinda heshima yake,katika kitabu chake kiitwacho " Nasaha kwa watu wa Imani katika kuwajeruhi watu Mantiki ya Kiyunani" anasema hivi " Miongoni mwa misingi ya watu wa mantiki ni kuongea kauli bila ya elimu"

Kauli yake haitoki patupu na huu ndio ukweli ambao nauona kwenu na unadhihirika mara kwa mara. Kwanini msijifunze kwanza ndio mkatenda au kuongea ?

Sasa kwa ujinga wako na ujuaji mwingi swali hili silijibu.

Mwanachuoni mwengine kadhalika simtaji kwa kulinda heshima yake,katika kitabu chake kiitwacho "Misingi mitatu" anasema "Elimu kwanza kabla ya kauli na matendo".

Someni muache kujichoresha. Kama jambo hujui ukiza kwa wanao jua,na si aibu kutokujua jambo.

Umeandika mengi.

Lakini.

Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Ungekuwa una akili salama usingeleta aya hii hapa,mpaka baada ya wewe kupata jibu la kwanini Allah anawaziba watu masikio,macho na mioyo ?

Lakini sababu hamkufunzwa adabu za elimu ndio maana mnafanya kazi mara mbili ?


Na mimi ninasema hivi "IKO WAPI MBINGU NA UKO WAPI MCHANGA ?"
Hujajibu swali.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Huyo Allah hayupo, katungwa na watutu.

Elezea ametungwaje mzee ? Usilete habari za kwenye vijiwe vya kahawa na kupoteza muda kucheza bao na kuwazungumzia wanawake wapitao njiani.


Hii elimu bro,sio visasili na ngano nyinginezo.
 
Elezea ametungwaje mzee ? Usilete habari za kwenye vijiwe vya kahawa na kupoteza muda kucheza bao na kuwazungumzia wanawake wapitao njiani.


Hii elimu bro,sio visasili na ngano nyinginezo.
Hujajibu swali.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Hujajibu swali.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Nacheka sana bro,nimeshakujibu kwamba sijibu swali hilo.

Nimefundishwa hivi katika madaraja ya watu kwa mizani ya elimu,watu wako aina nne,mojawapo ni "Kuna yule mtu anae jidai anajua wakati hajujui na hajijui kama hajui". Huyu tuna muita MPUMBAVU na mtu hafai kuelimishwa yaani wa kumuacha.

Laiti kama ungekuwa hujui na unajua kama hujui,wewe umeghafilika tu na unapaswa luelimishwa utake usitake.


Sasa baada ya hapa uje uniulize hivi au uniambie hivi "Hujajibu swali"
 
Nacheka sana bro,nimeshakujibu kwamba sijibu swali hilo.

Nimefundishwa hivi katika madaraja ya watu kwa mizani ya elimu,watu wako aina nne,mojawapo ni "Kuna yule mtu anae jidai anajua wakati hajujui na hajijui kama hajui". Huyu tuna muita MPUMBAVU na mtu hafai kuelimishwa yaani wa kumuacha.

Laiti kama ungekuwa hujui na unajua kama hujui,wewe umeghafilika tu na unapaswa luelimishwa utake usitake.


Sasa baada ya hapa uje uniulize hivi au uniambie hivi "Hujajibu swali"
Hujajibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Bro unapenda kupoteza muda kinoma. Pambana na hoja zangu mzee.
Hoja ukiiona hata huwezi kuijua.

Ndiyo maana huwezi kujibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
 
Hoja ukiiona hata huwezi kuijua.

Ndiyo maana huwezi kujibu swali hili.

Kwa nini Allah anawaziba watu masikio, macho na mioyo badala ya kuwafungua?
Kaka mimi huwa sijitutumui katika jambo ambalo siliwezi hata siku moja,na nina jua kusema sijui kwa jambo nisilo lijua ni hatua bali ni nusu ya kulijua jambo hilo.

Mpaka nimekuuloza maswali hayo jui ya aya hiyo ujue ninajua ninacho kipngea bali ninaijua hiyo aya vizuri,tena kwa ziada nina weza kukupa rejea kadha wa kadha za maelezo ya hiyo aya.


Kaka rudi shule,usikitie nakshi kiti kibovu,kitengeneze kwanza ndio ukitie nakshi"
 
Muulize Kiranga kwanini Mungu awafanye hivyo hao watu?

Nacheka sana bro. Bro haliwezi hilo swali,naona ananiuliza mimi tena,haya ni maajabu ya watu hawa. Utafikiri wamelazimishwa kuandika kila wanacho kiona.

Huku nimeshamwambia si mjibu hilo swali.

Kaka tafadhali sana usiwaaibishe hawa jamaa,ni wajibu wetu kuwasaidia,endapo wakiwa wa kweli katika kauli na matendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom