zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Dah, mshikaji we kiboko...unatoa utabiri wakati umeshapata matokeo!
ha ha ha ha ha ha tulikuwa tunajua ila tuliacha waamue kuna mchezo unachezwa hapa kwenye hizi mahakama
Dah, mshikaji we kiboko...unatoa utabiri wakati umeshapata matokeo!
jaji juma...!Ni jaji gani au ni wale wa fasta? kama ni hao ni kuomba rufani
Ni upepo tu utapita....
Badly kitu ambacho haukifahamu hii hukumu kutoka ikulu inawauma zaidi wanaCCM kuliko Chadema, tuulize wana wa jimbo la Segerea ndio utafahamu ukweli.Poleni sana CDM
viva CCM!!!
Jaja mwenyewe ni muislam na chadema wapi na wapi
Jaja mwenyewe ni muislam na chadema wapi na wapi
Wale wafuasi wa Chadema mtasema Mahakama imewaonea?????"""LAZIMA MAHANGA ASHINDE KWA VYOVYOTE ,HATUWEZI KUPOTEZA JIMBO DSM HII ITAKUWA AIBU KUBWA TUNAJUA CHAMA KIMEYUMBA LAKINI CHAMA KITAANZA SAFARI YA KUFA KAMA TUTAPOTEZA JIMBO LINGINE DAR KABLA YA 2015''
ujumbe huo nimefowadiwa sasa hivi na mtu wangu wa karibu ambaye ameupata kutoka kwa MKUU WA KAYA,niko mahakamani dalili za kushindwa ni kubwa kwani Jaji anapangua hoja zetu kama maji bila kutuangalia usoni
Bado Ubungo! Watabalansi tu
Kwenye hii thread sijaona maneno ya wana CDM "SISI TUNA MUNGU"
Huyu Mungu wao this time kapigwa chini...lol!