ngaranumbe
Senior Member
- Apr 16, 2012
- 148
- 39
CCM iliweka mkono wake hapa na bila shaka kuna amri kutoka Ikulu juu ya hukumu hii; mahakama za TZ ni kinyaa kitupu na aibu. Ushahidi ulikuwa wazi CDM kushinda. Jirani Kenya Moi alikuwa mpingo lakini aling'oka na lichama lake la OO KANU yajenga nchi. God ataamua siku moja