A
Anonymous
Guest
Habari,
Utaratibu wa Makondakta katika stend kuu ya Nyegezi si mzuri hata kidogo.
Makonda wanawavamia abiria hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya vitu kama simu NK.
Asubuhi nimeshuhudia abiria kaibiwa simu katika virugu hizi.
Naona nisaidie kuripoti Hilo. Ni kero.
Utaratibu wa Makondakta katika stend kuu ya Nyegezi si mzuri hata kidogo.
Makonda wanawavamia abiria hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya vitu kama simu NK.
Asubuhi nimeshuhudia abiria kaibiwa simu katika virugu hizi.
Naona nisaidie kuripoti Hilo. Ni kero.