Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?
Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.
Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.
Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?