Makonda yupo wapi?

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,824
18,569
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
 
Alionekana akipanda baiskeli,
20231112_004017.jpg
 
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?

Tumekuelewa ndugu "Makobas" 🤒🤒
 
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
Nyie wachagga acheni hizo,mlipoamini kuwa CDM itachukua nchi kwa kuendesha siasa za kikabila na kikanda mlikuwa hamjui mdhara yake ?
 
Yule analea mtoto wa Kachina Dar. Jamaa huwa anafurahisha sana. Ana mbwembwe kweli, wenzie wanamdere tu.
 
Nyie wachagga acheni hizo,mlipoamini kuwa CDM itachukua nchi kwa kuendesha siasa za kikabila na kikanda mlikuwa hamjui mdhara yake ?
Unaweza kutaja hata kiashiria kimoja tu cha ukabila ndani ya CDM?
 
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
Mbinu safi ni zipi?
 
Jana
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
Makonda kweli mikosi!
 
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
Kagasheki kammaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alionekana akipanda malori ya mchanga, bajaj, baiskeli, punda na hata ngamia huko kanda ya ziwa. Alichoacha kupanda ni fisi tu, je Makonda yupo wapi?

Jana Kikwete kasisitiza umuhimu wa serikali kuchukua ushauri katika maswala mbalimbali, nafikiri Kikwete alishaona mbinu za kisiasa za awamu hii zinatupeleka siko.

Hii mbinu Makonda kama ilivyo mbinu Biteko ni mbinu za kikabila na zilaaniwe! Kwanini CCM hamwezi kujiamini na kutafuta ushindi bila mbinu chafu?
Msukuma asimpande fisi?
Umezingua sana yaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom