Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,721
109,155
Nilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.

Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
 
FB_IMG_1709133968511.jpg
 
Back
Top Bottom