Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,534
anaanza wachokoza tena wakati siasa yeye ndio iliyomuweka hapo na sio elimu, kwani uvccm ni chama cha mziki wa dansi? si ndipo alipotokeaMkuu wa mkoa wa Dar ametoa kauli hiyo leo Dar wakati alipowatembelea wahanga wa mafuriko mkoa wa daresalam na kuwataka wahame maramoja maeneo hayo swali ni kweli wanasiasa wanapokua kwny majukumu yao wanatafuta sifa za kijinga??