Hii vita ilisha wasumbua watu wengi....kwa kifupi.....
1.Bondia maarufu duniani manny pacquiao...
2.Muimbaji maarufu wa reggae Alpha Blondy
Unajua kwa nini haya yanatokea...Sababu kubwa hawa mashoga nyuma yao kuna watu wakubwa ...Hebu fikiri mwanamuziki Elton John ni shoga lakini malkia wa Uingereza alimpa heshima ya Knight Bachelor...na kuwa Sir Elton John....Hivyo basi RC kupambana na watu kama hawa ni dhahiri anapambana na watu asiowajua.
Kwa sasa shetani ndio yuko kazini.DEVILS AT WORK.
USHOGA TUUKATAE KWA NGUVU ZOTE NA KWA GHARAMA YEYOTE.