Makonda: Mashoga wanataka kuniangamiza

Makonda: Mashoga wanataka kuniangamiza

As if mtu kupumuliwa mgongoni kunahitaji ruhusa ya mamlaka!
YANI NIMEWAZA WATU 150 WAKUTANE KINONDONI!
lilikuwa kongamano au mkutano wa mashoga ,af kinondoni!
lazima itakuwa ni Biafra!
na lazima watakuwa walitumia vipaza sauti!
ahahhahahahhaahahahahhah hiii nchi bana!
na sasa hivi imekuwa huu mkoa bana!
 
Mkiona mtu anasema kuwa achana na mashoga au kuwatetea mjue kuwa huyo ni mdau,Hata humu Jamii forum mnaotetea mashoga mtakuwa wadau tu,Haiwezekani mpaka bunge la jamhuri limepiga marufuku ,serikali inapiga marufuku wewe mr.bigman na carbamazine unasema makonda aaachana nayo sio sahihi nadhani wanaoshabikia lazima watakuwa wadau,

Nchi za wenzetu wanaopinga wakikamatwa wanateketezwa kabisa sio kunyongwa tu. Kwa upande mwingine RC makonda nakuunga mkono wewe pambana nao kwa sababu walishakutangazia ubaya Wanaoona tanzania ni shida wahamie nchi husika zinazoruhusu hiyo hali. RC makonda Kuna namna nyingine Bar,guest house zote, Casino na Club zote zifungiwe security and recording camera hii itanaini vitu vingi sana.

Security na recording cameras kila mjenzi wa nyumba aweke kwa garama yake then serikali kupitia jeshi la polisi na vyombo vingine vya dola wasaidie kufanya monitoring. Ivi suali langu ni ratio ya wanawake Tanzania ni kubwa kuliko wanaume,Kwa nini mnaopenda mashoga msioe tu wanawake hata kwa ratio ya 4/1? wake up Tanzanian...Faida yako ni wewe na familia yako ukiteetea ushoga unaidhalilisha familia yako
 
ila mata.ko na miku.ndu si yao jamani? Waacheni siku ya kiama si wao watajua wenyewe banah kwanza tunawapa kick bureeeee waaaiiii
 
Jamani kumbe kuna vyeo vingine vigumu. Mimi kuanza kulumbana na kundi la mashoga yaani hata siwezi kabisa!
 
Intelijensia ilibaini mashoga 150 wamekaa kikao cha kutaka kumdhuru, ila vyombo vya usalama vimekamata baadhi yao tu, kha! hao walioachwa wameachwa ili waendelee kutoa huduma au? Makonda kuchokoza mashoga ni sawa na kukimbizana na mwendawazimu jalalani, hawa wtu akili zao haziko sawa ujue, umetoa tamko nyamaza acha vyombo vya dola viwakamate kama kuna sheria ya kuwatia hatiani wataenda jela. Dar bado chafu sanaaaa, bora uende kusafisha mitaroni huko kama huna kazi ya kufanya ofisini.
Teh teh teh eti mashoga wanataka kumdhuru. Duhh, hii inanikumbusha ile stori ya shoga aliyempiga mwizi kwa sponji huku akiamini kamuumiza!
Eti "sina akaunti ambayo inaanza na cheo changu, hivyo akaunti zote zangu zimeandikwa kwa jina langu Paul Makonda si vinginevyo, hivyo kila mtu anapaswa kuwa makini na hilo". Basi hii hapa angeomba ifungwe vinginevyo inapotosha watu:
RC Paul Makonda | Facebook
 
awe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema tangu alipotangaza kuanza kukamatwa kwa mashoga, amebaini kuna mkakati unawaohusisha watu hao zaidi ya 150 kutaka kumwangamiza.

Kauli hiyo aliitoa jana Dar es Salaam baada ya kumaliza mahojiano katika kituo cha redio Clouds FM, ambako alikuwa akifafanua hoja na changamoto mbalimbali za mkoa wake.

Alisema kuwa baada ya kubainika kwa mipango hiyo, mashoga wanane wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa hatua zaidi.

“Lazima watu wajue jitihada na harakati za kusimamia katiba na usawa hapa nchini. Hakuna anayezipenda, vita inakuwa kubwa… Nimebaini kuwa mashoga zaidi ya 150 waliketi katika baa moja Kinondoni wakipanga njama za kunimaliza kwa namna moja ama nyingine, lakini kutokana na taarifa za kiintelijensia, watu kadhaa, wengi wao wakiwa ni mashoga wameshakamatwa,” alisema Makonda.

Katika hatua nyingine, Makonda aliwatolea uvivu watu wanaosambaza ujumbe wa tofauti juu ya maagizo yake katika mitandao ya kijamii, ikiwamo kutengeneza akaunti feki.

“Kwanza wanapaswa kujua kuwa sina akaunti ambayo inaanza na cheo changu, hivyo akaunti zote zangu zimeandikwa kwa jina langu Paul Makonda si vinginevyo, hivyo kila mtu anapaswa kuwa makini na hilo,” alisema Makonda.

Aliweka wazi kuwa kuna agizo batili lililowekwa katika mitandao ya kijamii, akidaiwa kusema kuwa watu wasiokuwa na kazi watakwenda jela, lakini ukweli ni kwamba ameagiza wenyeviti wa Serikali za mtaa kuhakikisha kuwa wanafanya uhakiki wa wakazi wao nyumba kwa nyumba kwa ajili ya usalama wa maeneo wanayoishi.

Aidha Makonda alisisitiza kuwa kutokana na matatizo yaliyopo, kamwe Hatoacha kupambana na mafisadi katika halmashauri zote tatu za mkoa wake, pamoja na wauza unga, wafanyabiashara wa shisha na mashoga.

Chanzo: Mpekuzi


===========

My take:

Sema chochote kwa Mkuu wa Mkoa
anachuja mambo anayoongea................
 
Teh teh teh eti mashoga wanataka kumdhuru. Duhh, hii inanikumbusha ile stori ya shoga aliyempiga mwizi kwa sponji huku akiamini kamuumiza!
Eti "sina akaunti ambayo inaanza na cheo changu, hivyo akaunti zote zangu zimeandikwa kwa jina langu Paul Makonda si vinginevyo, hivyo kila mtu anapaswa kuwa makini na hilo". Basi hii hapa angeomba ifungwe vinginevyo inapotosha watu:
RC Paul Makonda | Facebook
Hii account kama siyo basi hao jamaa wanaoimiliki ni Nouma mana Du unaweza sema yake.
 
Hawa watu ni kuwakataa kwa nguvu zote kwenye jamii yetu naungana na makonda asilimia Mia nyinyi wateteeni tu hili swala ata maandiko matakatifu yanalipinga makonda asikate tamaa hawa watu wanaungwa Na watu wengi pambana ni Vita hii
Nakubaliana nawe wakamatwe kwa nguvu zote lakini napasha mashaka kama RC alijua walikutana Sinza, wakaweka kikao hivi si ulikuwa kazi rahisi sana kuwakamata hao 150 angalau idadi yao ingepungua AU kahofia magereza yangejaa? Sijapata jibu na hyo intelenjisia yao ya kukamata 4 kati ya 150.
 
Si aombe kazi kituo chochote cha TV au redio? Kila siku kwenye media, au hana jukwaa lolote la kutumia kuongea mambo yake hayo!
 
Jana nilikuwa nasikiliza BBC World Service kama kawaida yangu.

Walikuwa wanatangaza kutoka Cleveland Ohio kufuatilia uchaguzi wa Marekani. Ninachowapendea BBC World Service ni kwamba huwa wanafuatilia habari kwa angle tofauti. Badala ya kumuhoji Donald Trump au Mike Pence, wakawa wanahoji vijana wadogo sana (in their teens and early twenties). Harvard University imepeleka vijana 100, wawili kutoka kila state ya USA. Vijana hawa ni "pages", ni kama vijakazi wa mabunge ya mikoa ya US, wanasaidia kazi na kujifunza uongozi kutoka miaka 18.

Wale vijana wakawa wanaulizwa, mnataka kuona nini katika uongozi unaokuja.

Kitu kimoja kilikuwa kinajirudia rudia sana kwa wengi wao.

Walikuwa wanasema wanataka Conservatives na chama cha Republican waache kujikita kwenye siasa za social issues (kushambulia abortion, mashoga etc) na kusisitiza zaidi umuhimu wa kuangalia uchumi.

Nikasema hawa vijana washaona ujinga wa wazee wao.

Tanzania mpaka vijana wanashikia bango mambo ya ushoga wakati watu hawana kazi, hawana elimu, wana magonjwa sana etc.

Priorities!
 
Muheshmiwa Paul makonda naye amekuwa akitafuta kiki kama wasanii wa bongo vile.
Kama mkoa na taifa kwa ujumla tuna matatizo mengi ya msingi sio kutumia muda na pesa nyingi kujadili mambo ya kijinga haya.
 
Teh teh teh eti mashoga wanataka kumdhuru. Duhh, hii inanikumbusha ile stori ya shoga aliyempiga mwizi kwa sponji huku akiamini kamuumiza!
Eti "sina akaunti ambayo inaanza na cheo changu, hivyo akaunti zote zangu zimeandikwa kwa jina langu Paul Makonda si vinginevyo, hivyo kila mtu anapaswa kuwa makini na hilo". Basi hii hapa angeomba ifungwe vinginevyo inapotosha watu:
RC Paul Makonda | Facebook
Hahaaahaa! kaunzisha mduara halafu yeye mwenyewe hawezi kuzunguka. Kazi anayo.
 
Kuanzisha vita na mashoga ni kujitafutia balaa. Soon the war will cross the borders into the unkown
Balaa ya nini wewe... hawa ni wamelaniwa kwahivyo popote walipo ni kupigwa vita.

Mkuu unashindwa kufikiri juu jambo la ushoga kuwa hata muumba aliwaadhibu kwa kuaangamiza hawa jamaa.. Jitambue.
 

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema tangu alipotangaza kuanza kukamatwa kwa mashoga, amebaini kuna mkakati unawaohusisha watu hao zaidi ya 150 kutaka kumwangamiza.

Kauli hiyo aliitoa jana Dar es Salaam baada ya kumaliza mahojiano katika kituo cha redio Clouds FM, ambako alikuwa akifafanua hoja na changamoto mbalimbali za mkoa wake.

Alisema kuwa baada ya kubainika kwa mipango hiyo, mashoga wanane wamekamatwa na Jeshi la Polisi kwa hatua zaidi.

“Lazima watu wajue jitihada na harakati za kusimamia katiba na usawa hapa nchini. Hakuna anayezipenda, vita inakuwa kubwa… Nimebaini kuwa mashoga zaidi ya 150 waliketi katika baa moja Kinondoni wakipanga njama za kunimaliza kwa namna moja ama nyingine, lakini kutokana na taarifa za kiintelijensia, watu kadhaa, wengi wao wakiwa ni mashoga wameshakamatwa,” alisema Makonda.

Katika hatua nyingine, Makonda aliwatolea uvivu watu wanaosambaza ujumbe wa tofauti juu ya maagizo yake katika mitandao ya kijamii, ikiwamo kutengeneza akaunti feki.

“Kwanza wanapaswa kujua kuwa sina akaunti ambayo inaanza na cheo changu, hivyo akaunti zote zangu zimeandikwa kwa jina langu Paul Makonda si vinginevyo, hivyo kila mtu anapaswa kuwa makini na hilo,” alisema Makonda.

Aliweka wazi kuwa kuna agizo batili lililowekwa katika mitandao ya kijamii, akidaiwa kusema kuwa watu wasiokuwa na kazi watakwenda jela, lakini ukweli ni kwamba ameagiza wenyeviti wa Serikali za mtaa kuhakikisha kuwa wanafanya uhakiki wa wakazi wao nyumba kwa nyumba kwa ajili ya usalama wa maeneo wanayoishi.

Aidha Makonda alisisitiza kuwa kutokana na matatizo yaliyopo, kamwe Hatoacha kupambana na mafisadi katika halmashauri zote tatu za mkoa wake, pamoja na wauza unga, wafanyabiashara wa shisha na mashoga.

Chanzo: Mpekuzi


===========

My take:

Sema chochote kwa Mkuu wa Mkoa
Eeeh! Mashoga 150!!! Dar Tu?? Eeeh.....! Wote hao wakakaa kikao cha kumdhuru mweshimiwa!!? Isijekuwa hata hii habari Mnamsingizia Mheshimiwa!
 
Dunia inakwenda kwa mwendo kasi kweli zamani shoga akiwa kariakoo basi jirani yake yupo kibamba leo katika mitaa mitatu mashoga watano. Ila khatari wanatokea watu na kutetea kuwa haki zao ziheshimiwe!
 
it takes one of a similar kind to fight the other.............................'Living in denial' thinking out loud.
 
Back
Top Bottom