Makonda: Mashoga wanataka kuniangamiza

Makonda: Mashoga wanataka kuniangamiza

Makonda alitangaza vita dhidi ya mashoga watu wakapata matumaini
Lakini mpaka leo hii mashoga wanapeta huko mitandaoni na mitaani
tena wakijitangaza live
Hivi makonda kazi yako ni kutafuta kick ama maana haiwezekani wewe kila siku unaibuka na mapya
Hivi ile kampeni dhidi ya mashoga imeishia wapi?
Mbona huulizi ile operation ya usafi?
 
Hebu na wewe toka hapa na vijimada visivyo na mashiko. Eti 'watu walisubiri kwa matumaini sijui mashoga nyoko nyoko nyoko nyoko' we mashoga wanakuwasha nini kama tunavyowashwa sisi wanaume na poda?

Sio kila jambo ni la kukosoakosoa tuuuuu mchana kutwa. RC awe ameanzisha kwa kutafuta kick au kwa dhamira ya dhati, anapaswa kuungwa mkono. Haya madawa ndio yanafanya wengi wenu hamna akili kichwani kwani bangi zinazovutwa next door ndio zimekufanya ulete huu ufukunyuku hapa
Vipi kuhusu kutusafirisha bure sisi maticha ktk jijj la kandoro?
 
Kuna mambo matatu ambayo ni mfupa uliowashinda wakuu wa mkoa wa Dar! Mambo hayo ni 1. Biashara ya ngono/ukahaba na ushoga! 2. Omba omba, 3. Biashara ya madawa ya kulewa!
 
Kwenye madawa ya kulevya, hata fedha nitachanga. Siku zote tunazomea, leo wanamulikwa tunalalama.

Acha watajwe hadharani na wacharazwe viboko kabisa
 
Huyu badala akapambane na DAWASCO kila kaya ipate maji, badala yake anaamua kwenda kupambana na wanaume watu wazima na timamu kabisa walioamua kiroho safi kugawa nyeti zao za nyuma. Kwanza vita dhidi ya wauza ngada,maCD na ombaomba imeishia wapi!
 
Back
Top Bottom