sangu mnene
Member
- Sep 5, 2012
- 92
- 35
Nadhani tatizo sio kuajiri wanasheria,tatizo ni uwezo wa kutumia robo tatu ya mshahara wake kuripa wanasheria wake,matumizi mengine yote eti asilimia 25% tu,ni suala ambalo haliwezekani kabisa kwa mwanasheria labda awe wakala wa mafisadi