Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

Huna hoja toka hapaaaa ww ndio unapanga viwango vya kulipwa wanasheria? Au unaujua mshahara wake? Malipo si makubaliano kama wamekubali kulipwa kiasi fulani cha fedha kidogo na nyingine zikiwa ni mchango wao kusaidia tatizo la ardhi wewe wajuaje? Acheni kumchukia mtu mtafikiri kawavunjia ndoa zenu.

mmmm??? Mbona unangea kihisia zaid? Loh
 
Dah sipati picha watu mnavyozozana hamjuan je mgekuwa mnaonana si ndo mgetoana macho? Mm nadhan haya yoteee busara ndo kitu muhim
 
Mh. Paul Makonda,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,nakusalimu. Ndugu Makonda,umesikika ukisema kuwa umewaajiri wanasheria saba kwa kuwasaidia wananchi kwenye kuingia mikataba au kufungua kesi kwenye mahakama. Ingawa wazo na nia yako ni njema,umedhalilisha tasnia ya sheria.

Umesema kuwa unawalipa wanasheria hao asilimia sabini na tano ya mshahara wako kwa mwezi. Pamoja na kutojua mshahara wako kwa mwezi,nina hakika asilimia hiyo haiwezi kuwalipa wanasheria saba. Tasnia ya sheria ni moja ya tasnia kongwe,adhimu na ghali hapa duniani. Madai yako yanaidhalilisha tasnia hii ya sheria. Wanasheria saba walipwe asilimia 75 ya mshahara wako!? Hakika hiyo ni dharau.

Ndugu Makonda,najua wewe ni mwanasiasa na kiongozi wa kiserikali. Kauli zako zinapaswa kuchujwa vyema kabla ya kutolewa. Kwa taarifa yako,hakuna wanasheria saba wanaoweza kuajiriwa kwa mshahara wa kiudhalilishaji kama huo. Hata wanafunzi wa sheria huwezi kuwapata,seuse wanasheria.

Natoa rai kwako Ndugu Paul Makonda kujitokeza hadharani na kuwaomba radhi wanasheria wa nchi hii kwa kauli yako ya kushusha thamani yao. Nikiwa mwanasheria,nimeshtushwa na kusikitishwa na kauli yako.

- Muwacheni afanye kazi mmekalia ujinga ujinga tu Makonda is doing wonders Kinondoni sasa hivi, amekubaliana na Wanasheria ambao wamekubali kupokea Mshahara wa 75% ya Mshahara wa DC tatizo lipo wapi wewe mpuuuzi? Wewe unalipwa kweli Mshahara wa Mwanasheria kama wa USA? Sasa Mwanasheria wa USA akija hapa akaona mshahara wako atasemaje anatakiwa akucheke au aelewe ndio hali halisi ya Tanzania? Wewe unasema kuna kiwango kimoja cha malipo ya Wanasheria? Mbona Mkono hafanani na MWanasheria yoyote hapa mjini?

- Yaani mnafikia mahali mnakera na ujinga ujinga yaani kweli mkuu unataka kusema hayo maneno yako yameandikwa na Mwanasheria? Kama ni kweli ndio maana Papa Msofe ameachiwa maana tuna Watu waliosoma Sheria kama wewe mkuu huna hoja ila chuki za kitoto.

Le Mutuz
 
- Muwacheni afanye kazi mmekalia ujinga ujinga tu Makonda is doing wonders Kinondoni sasa hivi, amekubaliana na Wanasheria ambao wamekubali kupokea Mshahara wa 75% ya Mshahara wa DC tatizo lipo wapi wewe mpuuuzi? Wewe unalipwa kweli Mshahara wa Mwanasheria kama wa USA? Sasa Mwanasheria wa USA akija hapa akaona mshahara wako atasemaje anatakiwa akucheke au aelewe ndio hali halisi ya Tanzania? Wewe unasema kuna kiwango kimoja cha malipo ya Wanasheria? Mbona Mkono hafanani na MWanasheria yoyote hapa mjini?

- Yaani mnafikia mahali mnakera na ujinga ujinga yaani kweli mkuu unataka kusema hayo maneno yako yameandikwa na Mwanasheria? Kama ni kweli ndio maana Papa Msofe ameachiwa maana tuna Watu waliosoma Sheria kama wewe mkuu huna hoja ila chuki za kitoto.

Le Mutuz


Mbona unamtetea Sana huyo choko?
 
- Muwacheni afanye kazi mmekalia ujinga ujinga tu Makonda is doing wonders Kinondoni sasa hivi, amekubaliana na Wanasheria ambao wamekubali kupokea Mshahara wa 75% ya Mshahara wa DC tatizo lipo wapi wewe mpuuuzi? Wewe unalipwa kweli Mshahara wa Mwanasheria kama wa USA? Sasa Mwanasheria wa USA akija hapa akaona mshahara wako atasemaje anatakiwa akucheke au aelewe ndio hali halisi ya Tanzania? Wewe unasema kuna kiwango kimoja cha malipo ya Wanasheria? Mbona Mkono hafanani na MWanasheria yoyote hapa mjini?

- Yaani mnafikia mahali mnakera na ujinga ujinga yaani kweli mkuu unataka kusema hayo maneno yako yameandikwa na Mwanasheria? Kama ni kweli ndio maana Papa Msofe ameachiwa maana tuna Watu waliosoma Sheria kama wewe mkuu huna hoja ila chuki za kitoto.

Le Mutuz

wewe ndio mjinga,kubwa jinga tena unakera vibaya Sana,laiti ungejua hilo usingemuita mtoa mada mjinga.
How comes umuite MTU mjinga instead ya kum pin down kwa points ,Mara ooohh USA, don't be stupid Me mutuz,we are talking of profession here not politics.
wewe Una support huyo makonda anawalipa hao bush lawyers 75% of his salary,don't curried by this cheap politics unless you are bug us like makonda who thinks he can fool us all the times.
MTU anadhalilisha profession za watu wewe unaleta mambo yenu ya kanga hapa,you thing being a lawyer is like being a blogger or ship attendant !!
kubwa jinga limekalia mambo ya kanga kanga,alafu who had given you a mandate to call a member humu mjinga,nani kakwambia wewe sio mjinga.?
Kama ni ujinga wewe ni mkuu wa wajinga hapa bongo.
 
Ni vema tukapata hiyo nukuu ya bwana Makonda, au neno kuajiri linareflect full time?

Maana inaweza kuwa masaa manne kwa wiki wajameni..Ila huyo Madereva mwenyewe simfagilii.

spika katika ubora wake
 
- Muwacheni afanye kazi mmekalia ujinga ujinga tu Makonda is doing wonders Kinondoni sasa hivi, amekubaliana na Wanasheria ambao wamekubali kupokea Mshahara wa 75% ya Mshahara wa DC tatizo lipo wapi wewe mpuuuzi? Wewe unalipwa kweli Mshahara wa Mwanasheria kama wa USA? Sasa Mwanasheria wa USA akija hapa akaona mshahara wako atasemaje anatakiwa akucheke au aelewe ndio hali halisi ya Tanzania? Wewe unasema kuna kiwango kimoja cha malipo ya Wanasheria? Mbona Mkono hafanani na MWanasheria yoyote hapa mjini?

- Yaani mnafikia mahali mnakera na ujinga ujinga yaani kweli mkuu unataka kusema hayo maneno yako yameandikwa na Mwanasheria? Kama ni kweli ndio maana Papa Msofe ameachiwa maana tuna Watu waliosoma Sheria kama wewe mkuu huna hoja ila chuki za kitoto.

Le Mutuz

William Malecela ....ni wewe umeandika haya au Mtu kaiba password ? Mimi nikifikiri umekulia " Ikulu " utajuwa nchi inaendeshwa kwa taratibu ..Hivi DC akaajiri wanasheria kwa mshahara wake na ofisi ya mwanasheria wa wilaya inafanya nini ?? Ofisi ya Mwanasheria wa Manispaa ?? Ofisi za NGo za misaada ya kisheria zippo tele ....
Tiachenj cheap popularity ....Kama ubunge wa Kinondoni naamini atapata bila kufanya hayo ..kwa Kuwa Huyo Iddi Azzan hamuwezi
 
Wewe unawaita wenzio wajinga kwa nini na kutukana Professional za watu kwa kiasi hicho wakati mwingine uwa tunakaa kaa kimya ila post kama hizi zinazogusa taaluma zetu zinatufanye tukujibu mambo yako mepesi mepesi.

Ata kama hii ndio style yako ya kupata umaarufu na hela kuna mambo si lazima uchangie tena kwa gharama ya kudhalilisha kundi kubwa la watu tena wasomi mahili kabisa.
 
- Muwacheni afanye kazi mmekalia ujinga ujinga tu Makonda is doing wonders Kinondoni sasa hivi, amekubaliana na Wanasheria ambao wamekubali kupokea Mshahara wa 75% ya Mshahara wa DC tatizo lipo wapi wewe mpuuuzi? Wewe unalipwa kweli Mshahara wa Mwanasheria kama wa USA? Sasa Mwanasheria wa USA akija hapa akaona mshahara wako atasemaje anatakiwa akucheke au aelewe ndio hali halisi ya Tanzania? Wewe unasema kuna kiwango kimoja cha malipo ya Wanasheria? Mbona Mkono hafanani na MWanasheria yoyote hapa mjini?

- Yaani mnafikia mahali mnakera na ujinga ujinga yaani kweli mkuu unataka kusema hayo maneno yako yameandikwa na Mwanasheria? Kama ni kweli ndio maana Papa Msofe ameachiwa maana tuna Watu waliosoma Sheria kama wewe mkuu huna hoja ila chuki za kitoto.

Le Mutuz

Kaka @w.j.malecela,nimesikitishwa na ulichoandika. Mosi,mimi si mjinga. Na kama ni mjinga,ujinga wangu hauufikii ujinga wako. Matendo na maneno yako hayaendani na umri wako. Hadi hapo mimi na wewe mjinga nani? Pili,Makonda amezungumzia kuajiri. Tatu,suala la Msofe lipo chini ya Mkurugenzi wa Mashtaka. Unamdharau MM? Kama hujui uliza. Acha kuropokaropoka. Hapa si Instagram. Chichidodo!
 
- Muwacheni afanye kazi mmekalia ujinga ujinga tu Makonda is doing wonders Kinondoni sasa hivi, amekubaliana na Wanasheria ambao wamekubali kupokea Mshahara wa 75% ya Mshahara wa DC tatizo lipo wapi wewe mpuuuzi? Wewe unalipwa kweli Mshahara wa Mwanasheria kama wa USA? Sasa Mwanasheria wa USA akija hapa akaona mshahara wako atasemaje anatakiwa akucheke au aelewe ndio hali halisi ya Tanzania? Wewe unasema kuna kiwango kimoja cha malipo ya Wanasheria? Mbona Mkono hafanani na MWanasheria yoyote hapa mjini?

- Yaani mnafikia mahali mnakera na ujinga ujinga yaani kweli mkuu unataka kusema hayo maneno yako yameandikwa na Mwanasheria? Kama ni kweli ndio maana Papa Msofe ameachiwa maana tuna Watu waliosoma Sheria kama wewe mkuu huna hoja ila chuki za kitoto.

Le Mutuz

Wewe unawaita wenzio wajinga kwa nini na kutukana Professional za watu kwa kiasi hicho wakati mwingine uwa tunakaa kaa kimya ila post kama hizi zinazogusa taaluma zetu zinatufanye tukujibu mambo yako mepesi mepesi.

Ata kama hii ndio style yako ya kupata umaarufu na hela kuna mambo si lazima uchangie tena kwa gharama ya kudhalilisha kundi kubwa la watu tena wasomi mahili kabisa.
 
Mi nilitegemea kwa kuwa wewe ni mwanasheria na unadai umedhalilishwa, ungelifungua kesi mahakamani ili mahakama iamua ni kwa kiwango gani umedhalilishwa ili ulipwe fidia badala yake unalalama hapa JF, ili iwaje sasa?
 
Ni kweli Makonda kama DC wa kinondoni ana timu ya wanasheria ofisini inayomsaidia kutatua kero za migogoro ya Ardh kwa jamii. Alipotangaza kuwasaidia wakazi wa wilaya yke kwa mwezi mmoja alijikuta anapokea wateja takribani 1,500 kwa mwezi. Kutokana na wingi wa watu wenye kero na migogoro pamoja uelewa Mdogo wa sheria alipokea ushauri kutoka kwa mawakili maarufu majina yao siyataji kuwaatafute timu ya wanasheria.Makonda alifanya hhivyo, akaunda timu ya wanasheria akawaomba wamsaidie kutoa HUDUMA YA KISHERIA. Kitaalam timu hiyo inatoa msaada wa kisheria ( legal aid) "probono". Naamini wanachofanya wanasheria hao siyo dhambi wala kinyume cha sheria. Timu hiyo awajapewa mikataba ya kazi au ajira na Makonda wala Wilaya.Nadhan alitumia maneno hayo kuongeza umaarufu wa kisiasa katka jamii na kupanua wigo wa kijulikana.Tusiwabeze wanasheria wanatoa HUDUMA kwenye jamii
 
Ungeiweka kimahesabu ingekaa vizuri zaidi.
Mkuu wa wilaya hulipwa mmilioni 2 kama mshahara

75% ya mshahara wake ni milioni moja na laki tano.

1500000/7 = 214,285.7

Kweli wanasheria wa Tanzania wanalipwa kidogo sana, hadi makonda anaweza kuajiri 7?.

Ina maana kama anawalipa wanasheria Tshs 1.5m ya mshahara yeye anaishi kwa kutumia laki 5?! Au ana vyanzo vingine vya kipato?!
 
Ni kweli Makonda kama DC wa kinondoni ana timu ya wanasheria ofisini inayomsaidia kutatua kero za migogoro ya Ardh kwa jamii. Alipotangaza kuwasaidia wakazi wa wilaya yke kwa mwezi mmoja alijikuta anapokea wateja takribani 1,500 kwa mwezi. Kutokana na wingi wa watu wenye kero na migogoro pamoja uelewa Mdogo wa sheria alipokea ushauri kutoka kwa mawakili maarufu majina yao siyataji kuwaatafute timu ya wanasheria.Makonda alifanya hhivyo, akaunda timu ya wanasheria akawaomba wamsaidie kutoa HUDUMA YA KISHERIA. Kitaalam timu hiyo inatoa msaada wa kisheria ( legal aid) "probono". Naamini wanachofanya wanasheria hao siyo dhambi wala kinyume cha sheria. Timu hiyo awajapewa mikataba ya kazi au ajira na Makonda wala Wilaya.Nadhan alitumia maneno hayo kuongeza umaarufu wa kisiasa katka jamii na kupanua wigo wa kijulikana.Tusiwabeze wanasheria wanatoa HUDUMA kwenye jamii

Mayor wa New York wa zamani, Michael Bloomberg, alikuwa anafanya kazi hiyo kwa mshahara wa dollar moja kwa mwaka. Yeye nia yake ilikuwa kuwa mayor, si kuliowa mshahara.

Ndiyo maana nashangaa hao wanaoshangaa Makonda kusema anawalipa mshahara wanasheria saba wakati hata hawajui terms zilizotumika ni zipi.
 
Inawezekana kwani akichanganya na posho + zile pesa alizozipata kwenye
bunge la katiba ukizingatia muda wenyewe uliobaki.

Watumishi wengi serikalini wanachojali ni posho tu,kwani ni rahisi
kufoji posho kuliko mshahara.

Anachojitapia Mh.Makonda ni posho wala si mshahara,ingekuwa vema
kama angetaja jopo hilo.
 
Mayor wa New York wa zamani, Michael Bloomberg, alikuwa anafanya kazi hiyo kwa mshahara wa dollar moja kwa mwaka. Yeye nia yake ilikuwa kuwa mayor, si kuliowa mshahara.

Ndiyo maana nashangaa hao wanaoshangaa Makonda kusema anawalipa mshahara wanasheria saba wakati hata hawajui terms zilizotumika ni zipi.
Hapo umetoka kidogo mkuu,utetezi wako hauna mashiko New York na kinondoni ni tofauti saaaaaaanaaaa
 
Eti tasnia adhimu na ghali. Yaani wanasheria wako busy kutuaminisha kuwa profession yao ni ghali. Bw. Mselewa anasema legal services are inherently expensive - haijalishi ukubwa na ubora wa huduma zinazotolewa. Lawyers have managed to instill this belief to everyone else that they are a special category/profession. Kwa nini wanafikiri wao ni special sana? Hawasemi. Kwa maoni yangu, hakuna watu wa hovyo kama wanasheria (mfano ni hii post ya Bw. Mselewa: egoism). Very unethical. Kikubwa wanachofanya ni ku-confuse watu na kusaidia mafisadi kuiba. I think there is something terribly wrong with their teachings and/or their field (In Bourdieu's language: the forms of social power and prestige valued in their field and the particular ways in which it shapes the conscious and subconscious practices of participants/lawyers (habitus) are simply flawed).
 
Back
Top Bottom