Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Pro bono, suo moto.
Pro bono, suo moto.
Petro ni mwanasayansi ya maada!Bush lawyers mpo wengi sana mjini..we inawezekana kuwa mmojawao
Sijui makonda amekula maharage ya wapi!!!
Ungeiweka kimahesabu ingekaa vizuri zaidi.
Mkuu wa wilaya hulipwa mmilioni 2 kama mshahara
75% ya mshahara wake ni milioni moja na laki tano.
1500000/7 = 214,285.7
Kweli wanasheria wa Tanzania wanalipwa kidogo sana, hadi makonda anaweza kuajiri 7?.
wanasheria wengi sana kitaani hawana kazi tunawatoa mkwanja wa kula sasa peter unalalamika nini,degree ya sheria imekuwa kama ya education.mh hajatudharau ila ndo hali halisi huku mtaani kila mwaka llb wanagraduate 5000 unadhani wote wanaenda wapi au unatafuta umahalufu.
wanasheria wengi sana kitaani hawana kazi tunawatoa mkwanja wa kula sasa peter unalalamika nini,degree ya sheria imekuwa kama ya education.mh hajatudharau ila ndo hali halisi huku mtaani kila mwaka llb wanagraduate 5000 unadhani wote wanaenda wapi au unatafuta umahalufu.
Ni vema tukapata hiyo nukuu ya bwana Makonda, au neno kuajiri linareflect full time?
Maana inaweza kuwa masaa manne kwa wiki wajameni..Ila huyo Madereva mwenyewe simfagilii.
acha urongo,huo sio mshahara wa mkuu wa wilaya.Tafuta taarifa sahihi,ila huo siyo mshahara wao
Ni vema tukapata hiyo nukuu ya bwana Makonda, au neno kuajiri linareflect full time?
Maana inaweza kuwa masaa manne kwa wiki wajameni..Ila huyo Madereva mwenyewe simfagilii.
acha urongo,huo sio mshahara wa mkuu wa wilaya.Tafuta taarifa sahihi,ila huo siyo mshahara wao
Wewe unafikiri kumpiga vibao mtu mzima mchezo? Lazima uweweseke tu