Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

DC wanalipwa ngazi ya LSSP1 with Basic of 3,560,000 na Net ya 2,349,540.Therefore kwa wanasheria 7,huyu boya anatamba kuwalipa 335,648.57

Hata buku wanaweza kulipwa suala ni makubaliano na muajiri wao yawezekana kuna fulsa nyingine kawapatia vijana wakakubali kwani wao wamelalamika?
 
Ungeiweka kimahesabu ingekaa vizuri zaidi.
Mkuu wa wilaya hulipwa mmilioni 2 kama mshahara

75% ya mshahara wake ni milioni moja na laki tano.

1500000/7 = 214,285.7

Kweli wanasheria wa Tanzania wanalipwa kidogo sana, hadi makonda anaweza kuajiri 7?.
Ahahahahaa. Jamaa ana dharau sana aisee
 
Ajira kwa sasa ni ngumu sana watu wanamaliza Tumain na UD sheria wanakosa ajira, wanatamani hata mshahara wa she 150,000/= kwa mwezi unakosa wanaamua kuwa waalim wa kujitolea katika shule private. Tena tuseme kasaidia kupunguza wanaozungukq na bahasha mtaani.

Halafu wewe unabeza

Makonda jembe sana we mleta mada utakuwa una bias
 
Ungeiweka kimahesabu ingekaa vizuri zaidi.
Mkuu wa wilaya hulipwa mmilioni 2 kama mshahara

75% ya mshahara wake ni milioni moja na laki tano.

1500000/7 = 214,285.7

Kweli wanasheria wa Tanzania wanalipwa kidogo sana, hadi makonda anaweza kuajiri 7?.[/Q

Ina maana Wanasheria hao wanalipwa chini ya kima cha chini cha serikali. Kima cha chini cha serikali (yaani kwa dereva anayeajiriwa kwa mara ya kwanza) ni sh. 265,000 kwa sasa.
 
usilete ubishi wa kikurya hapa,wewe unadhani basic salary ya mkuu wa idara ni shilingi ngapi
acha uropokaji wewe! ni mkuu wa idara ipi analipwa 3M? wakuu wa idara, hata wale wanaokaribia kustaafu, wanaogelea ndani ya 2M.
 
Makonda anapigapiga tu alimradi nae kwenye ramani awepo. Anasema nini haimuhusu, mtajiju nyie mnaosikiliza mkuu wa wilaya akiongea. Sasa mnataka afanyeje jamen nae rahis kampa cheo?
 
DC wanalipwa ngazi ya LSSP1 with Basic of 3,560,000 na Net ya 2,349,540.Therefore kwa wanasheria 7,huyu boya anatamba kuwalipa 335,648.57


Mkuu usisahau kasema 75% yake ndio anatumia kuajiri wanasheria 7, kwa hiyo ni kama kila mmoja analipwa 251,736 kwa kichwa. Huyu kadhalilisha idara ya sheria.
 
Hiyo mil 2 ni gross figure au ni net take home?


Ni net mkuu, mishahara yao inacheza kwenye 3m point somethin ukitoa kodi inabaki 2m hivi point something. Kwa hiyo ukitoa .75 hapo utapata anayowalipa wanasheria 7, almost 250k per kichwa.
 
DC wanalipwa ngazi ya LSSP1 with Basic of 3,560,000 na Net ya 2,349,540.Therefore kwa wanasheria 7,huyu boya anatamba kuwalipa 335,648.57

Wewe Ni Muongo Sana DC halipwi kiasi hicho Mbona unapenda kuongea uwongo? Mshahara wa DC sio huo ulioutaja!
 
Wewe Ni Muongo Sana DC halipwi kiasi hicho Mbona unapenda kuongea uwongo? Mshahara wa DC sio huo ulioutaja!

Kati ya yeye na wewe nani muongo? Yeye kaweka data wew unabisha maneno matupu.

Kama unajua sio huo si utaje unaoujua, watu wengine bwana mmekaa kimbea sana
 
Kumtaka Makonda aombe radhi ni kutafuta sifa tu.

Sioni la kuombewa radhi hapo.
 
Kati ya yeye na wewe nani muongo? Yeye kaweka data wew unabisha maneno matupu.

Kama unajua sio huo si utaje unaoujua, watu wengine bwana mmekaa kimbea sana
hivi hawa huwa hawana marupurupu na allowances jaman? huwa naona nyumba, gari, dereva..nazan kuna na vingine vingine.. ukitotal up dc anaweza kuwa anatumia hata ka ten mln flan monthly
 
Back
Top Bottom