Khadija Mtalame
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 186
- 715
hello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)