Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Mwnaharakati ‘huru ‘ Musiba kawachota Wazito wa kufanya tafakuri Mujarab wanadhan hapo anamponda Makonda

Anachojaribu ni kuonesha kuwa yeye Hana upande yuko neutral ndio sababu hata ‘Makonda aliwahi kumkosoa dhidi ya freeman Mbowe’

Hakuna la zaid analofanya
Mimi siwezi kabisa kumuamini huyu jamaa, hivyo siwezi kuwa fooled kirahisi hivyo.

Anayejiita Mwanaharakati huru lakini huwezi kamwe kumsikia kwamba kaita press akakemea kutekwa na kupotea kwa Watu.

Mwanaharakati pekee anayeweza kukashifu Watu hata wenye nyadhfa na heshima kwenye jamii kwa uhuru na wala asiwe na hofu ya kukutwa na yaliyowakuta kina Sanane, Nondo n.k...labda ndio anachomaanisha kwa kujiita 'Mwanaharakati huru'

Nimeshindwa hata kuangalia hiyo video you tube maana naona nitapoteza mb zangu bute tu.

Ni usanii tu hapa.
 
Linalosemwa na wengi linasemwa na Mungu.
Makonda jishushe uwe kama binadamu wenzako.
Utambue kuwa Piere Liquidi ni Kiumbe wa Mungu kama wewe.
Na kunawakati wewe ulikuwa kama huyo Liquidi.
Unafikia mahali unamwita binadamu mwenzako mtu wa hovyo hovyo.
Unajua kwanini Mungu alimwumba Liquidi ?
Makonda unadharau iliyopitiliza sana.
Bado una muda wa kujirekebisha, fanya hivyo.
Ukibadilika watu watakupenda tena.
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Mbona askofu wenu shoooo....ga kamwita makonda chatu,kifutu humulalamikii?
 
Huyu kijana mwenzetu kabebewa mbeleko la aina yake. Makosa anayoyafanya hadharani bila kukemewa, kuonywa na kuadabishwa Kama wanavyofanyiwa viongozi wengine kwake ni ndoto kwenye awamu hii hii inayosifiwa kwa kutenda haki. Makonda amefanya mengi ya kuudhi na kuvunja sheria.

Ni Makonda aliyevamia clouds, ni Makonda aliyetukana bunge, ni Makonda aliyetuhumu watu hadharani kwa dawa za kulevya na kuharibia watu haiba zao, ni Makonda anayebaguwa wachaga.

Hata hivyo ni muda mrefu watu wamesema hakuna hatua yoyote anayochukuliwa zaidi ya kupongezwa na kukingiwa kifua. Makonda huyu habadiliki na anarudia makosa Yale Yale.

Sasa anasemwa hadharani na katibu mkuu wake wa chama, na makanisani. Anasemwa na Kila kundi la jamii. Si wapinzani, si chama tawala, si maaskofu, si wanahabari, si wanajamii peke yao lkn anasemwa na Kila kundi.

Hilo taulo la kumbeba Makonda limechoka, limetoboka. Sasa ni wakati kumbadilishia mbeleko. Wakati ni Sasa kabla hajaendelea kulitia hasara taifa.
FB_IMG_1557599085142.jpg
 
Huyu kijana mwenzetu kabebewa mbeleko la aina yake. Makosa anayoyafanya hadharani bila kukemewa, kuonywa na kuadabishwa Kama wanavyofanyiwa viongozi wengine kwake ni ndoto kwenye awamu hii hii inayosifiwa kwa kutenda haki. Makonda amefanya mengi ya kuudhi na kuvunja sheria.

Ni Makonda aliyevamia clouds, ni Makonda aliyetukana bunge, ni Makonda aliyetuhumu watu hadharani kwa dawa za kulevya na kuharibia watu haiba zao, ni Makonda anayebaguwa wachaga.

Hata hivyo ni muda mrefu watu wamesema hakuna hatua yoyote anayochukuliwa zaidi ya kupongezwa na kukingiwa kifua. Makonda huyu habadiliki na anarudia makosa Yale Yale.

Sasa anasemwa hadharani na katibu mkuu wake wa chama, na makanisani. Anasemwa na Kila kundi la jamii. Si wapinzani, si chama tawala, si maaskofu, si wanahabari, si wanajamii peke yao lkn anasemwa na Kila kundi.

Hilo taulo la kumbeba Makonda limechoka, limetoboka. Sasa ni wakati kumbadilishia mbeleko. Wakati ni Sasa kabla hajaendelea kulitia hasara taifa.
Anajua SIRI KUBWA SANA ya aliyemteua hivyo tutegemee ipo siku atamgeuka hata mteule wake
 
Huyu kijana mwenzetu kabebewa mbeleko la aina yake. Makosa anayoyafanya hadharani bila kukemewa, kuonywa na kuadabishwa Kama wanavyofanyiwa viongozi wengine kwake ni ndoto kwenye awamu hii hii inayosifiwa kwa kutenda haki. Makonda amefanya mengi ya kuudhi na kuvunja sheria.

Ni Makonda aliyevamia clouds, ni Makonda aliyetukana bunge, ni Makonda aliyetuhumu watu hadharani kwa dawa za kulevya na kuharibia watu haiba zao, ni Makonda anayebaguwa wachaga.

Hata hivyo ni muda mrefu watu wamesema hakuna hatua yoyote anayochukuliwa zaidi ya kupongezwa na kukingiwa kifua. Makonda huyu habadiliki na anarudia makosa Yale Yale.

Sasa anasemwa hadharani na katibu mkuu wake wa chama, na makanisani. Anasemwa na Kila kundi la jamii. Si wapinzani, si chama tawala, si maaskofu, si wanahabari, si wanajamii peke yao lkn anasemwa na Kila kundi.

Hilo taulo la kumbeba Makonda limechoka, limetoboka. Sasa ni wakati kumbadilishia mbeleko. Wakati ni Sasa kabla hajaendelea kulitia hasara taifa.
Kodi ya yale makontena yake alilipa? Yaliishia wapi? Mil 147 alizopewa na Marehemu Mzee Mengi kulipia buffet la maaskofu ali-declare kwa Tume ya Maadili?
 
Ulisahau form four failure, na mambo ya bandari, kutangaza wabunge wenye watoto wa nje, kutangaza survey ya jinsia moja, etc, etc! Huyu ana mambo mengi ya ajabu tu!
 
Nilishangaa kuona anashindana na Waziri wa Fedha kulipia furniture alizoagiza hataki kulipa kodi? Hadi Mh Rais akaingilia kati, nilishangaa sana
 
Bashite ana kiburi cha tako, akiliona tako lilivyo kuuuubwa anaamini ana maisha marefu sana,

Kuna MTU alikuwa na tako kama Agness Masogange??? Yupo wapi SASA??

Tako lililoumuka lisikupe jeuri ukajiona Una uhai wa kudumu!
Mkuu umeua, duh!
 
Mbeleko hii labda ipotee na mwenye mbeleko bila hivyo mtasubiri sana. Bashite ni untouchable .
aliyeifunga mbeleko ni kiziwi na kwakuwa ni kiziwi ni kipofu pia.
vyeti vyenye utata.
uvamizi wa clouds
kuanzisha operation ambazo hazipimiki mf. ile ya wajane na waliotelekezwa unapimaje kama imefanikiwa au la? mambo ya ustawi yanafanywa na lihuni tena barabarani without any confidentiality.
kuwabagua watu kwa makabila na kuleta kiburi mazabahuni
yote yamepita hata lile la kuingiza makontena nalo likapita
 
aliyeifunga mbeleko ni kiziwi na kwakuwa ni kiziwi ni kipofu pia.
vyeti vyenye utata.
uvamizi wa clouds
kuanzisha operation ambazo hazipimiki mf. ile ya wajane na waliotelekezwa unapimaje kama imefanikiwa au la? mambo ya ustawi yanafanywa na lihuni tena barabarani without any confidentiality.
kuwabagua watu kwa makabila na kuleta kiburi mazabahuni
yote yamepita hata lile la kuingiza makontena nalo likapita
Hata ile vita ya madawa ya kulevya mbona miaka yote inapigwa kimya kimya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom