celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,330
- 1,059
Makonda hawezi kutubu dhambi zake na hakuna wa kumwajibisha
Jamani kuna kitu mnasahau, mteule alishasema anateua vichaa kama yeye, sasa atamtumbuaje kama kichaa kimepanda akiwa madhabahuni?yeye hufurahi kuona kichaa wake katenda kiukichaa.