Wala huyu asikutishe katu. Tumewaona wengi tuu dunia ya Tanzania. Umesahau wakina Ridhiwani walikuwa wanaitwa THE Prince? Umesahau akina Nape etc..walipokuwa kwenye peak? Where are they now?
CHA KUTAMBUA NI KWAMBA KILA KITU KINA MAJIRA! Kuna wakati wa Mvua. Kuna wakati wa Jua.
Let Bashite enjoy his fame at the moment. Mda ukifika atarudi alipokuwa. Hao akina Le Mutuz si kwamba wana urafiki na Bashite. Wao wanataka access na wenye madaraka with associated benefits. Mengine ni ubatili na unafiki.
Halima Mdee akae chonjo. Sitashangaa kuona bonge LA scandal limetengenezwa dhidi yake. Kilangila.Huyu ataendelea kuwa RC wa Dar na ninasikia ana mpango wa kugombea jimbo la Kawe. Akiwa mbunge anaweza kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Sio anaweza, huyu ndiye waziri wa Mambo ya ndani 2021 - 2025Huyu ataendelea kuwa RC wa Dar na ninasikia ana mpango wa kugombea jimbo la Kawe. Akiwa mbunge anaweza kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Leo ndio mwisho wake Msigwa ndio anaandaa barua ya taarifa hapa.
Uko sahihi, Makonda hana kitu cha maana. Kilangila.Hakuna kitu hapa
Tutakuwa tumetenda kosa kubwa sana, kuongozwa na zeroHivi tunawezaje kuviacha vichwa vyenye akili kama Membe, Lissu, Zitto, January na wengineo na kumtuhusu Bashite kuwa mtukufu?
Bashite ana kiburi cha tako, akiliona tako lilivyo kuuuubwa anaamini ana maisha marefu sana,
Kuna MTU alikuwa na tako kama Agness Masogange??? Yupo wapi SASA??
Tako lililoumuka lisikupe jeuri ukajiona Una uhai wa kudumu!
Musiba siku zote yuko vzr sema leo unasema anakili kwasababu anamponda mbaya wenuMusiba sometimes kumbe zimo
wewe unajuaje haya unayosema?Kwa kazi aliyokabidhiwa Makonda na familia ya Magufuli (Namaanisha kazi ya kifamilia) si rahisi Magufuli kchukulia hatua. Labda kazi hiyo akabidhiwe mwingine na ndo utakuwa mwisho wa Makonda iwapo Magufuli hatajali kuvujishwa kwa siri za familia.
Kuna siku isiyo na jina zitaozaWote na baba yake ndumba ndo zinawapa ujeuri.....hiv unafikir wanapata wap ujasir wa kufanya wanayofanye kwa ujeur mkubwa
Waziri wa mambo ya ndani au waziri mkuu ?Huyu ataendelea kuwa RC wa Dar na ninasikia ana mpango wa kugombea jimbo la Kawe. Akiwa mbunge anaweza kuwa waziri wa mambo ya ndani.
niliwahi kusikia sehemu kuwa musiba na makonda huwa hawaivi chungu kimoja. wanaishi kwa kuviziana.
kwa tukio hili la musiba nimeanza kuamini kile nilichokisikia. ila fresh tu, acha washughulikiane wao kwa wao.
Waziri wa mambo ya ndani au waziri mkuu ?
Maana akitaka kuwa waziri wa mambo ya ndani sio lazima agombee ubunge. Baba yake anaweza akamteua kuwa mbunge.