Makonda is almost so damn right!

Makonda is almost so damn right!

Status
Not open for further replies.
Ndio ulichoamkia
kumuwaza mwanaume wenzako mkuu wa mkoa????

kweli mmeishiwa
 
Wala huyu asikutishe katu. Tumewaona wengi tuu dunia ya Tanzania. Umesahau wakina Ridhiwani walikuwa wanaitwa THE Prince? Umesahau akina Nape etc..walipokuwa kwenye peak? Where are they now?

CHA KUTAMBUA NI KWAMBA KILA KITU KINA MAJIRA! Kuna wakati wa Mvua. Kuna wakati wa Jua.

Let Bashite enjoy his fame at the moment. Mda ukifika atarudi alipokuwa. Hao akina Le Mutuz si kwamba wana urafiki na Bashite. Wao wanataka access na wenye madaraka with associated benefits. Mengine ni ubatili na unafiki.

Le mutuz anaingiaje hapa? au unataka wewe ndio ungekuwa le mutuz?
 
Huyu ataendelea kuwa RC wa Dar na ninasikia ana mpango wa kugombea jimbo la Kawe. Akiwa mbunge anaweza kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Halima Mdee akae chonjo. Sitashangaa kuona bonge LA scandal limetengenezwa dhidi yake. Kilangila.
 
Leo ndio mwisho wake Msigwa ndio anaandaa barua ya taarifa hapa.
 
Na iwe kheri..... Siku Tatu nyuma Kuna mahali niliona mtu ameandika tu subiri kuanzia hiyo siku mpaka juma Tatu kichwa kinatolewa.... Nasubiri nione kama ni kweli
Leo ndio mwisho wake Msigwa ndio anaandaa barua ya taarifa hapa.
 
Bashite ana kiburi cha tako, akiliona tako lilivyo kuuuubwa anaamini ana maisha marefu sana,

Kuna MTU alikuwa na tako kama Agness Masogange??? Yupo wapi SASA??

Tako lililoumuka lisikupe jeuri ukajiona Una uhai wa kudumu!

Hhahahahaha daaah ila jf ina watu wana maneno asee...imebidi tu nicheke🤣🤣🤣
 
Musiba sometimes kumbe zimo
Musiba siku zote yuko vzr sema leo unasema anakili kwasababu anamponda mbaya wenu
Kwa kazi aliyokabidhiwa Makonda na familia ya Magufuli (Namaanisha kazi ya kifamilia) si rahisi Magufuli kchukulia hatua. Labda kazi hiyo akabidhiwe mwingine na ndo utakuwa mwisho wa Makonda iwapo Magufuli hatajali kuvujishwa kwa siri za familia.
wewe unajuaje haya unayosema?
 
Makonda na msiba ni pipa na mfuniko, wale wale wasio na nidhamu
 
Huyu ataendelea kuwa RC wa Dar na ninasikia ana mpango wa kugombea jimbo la Kawe. Akiwa mbunge anaweza kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Waziri wa mambo ya ndani au waziri mkuu ?

Maana akitaka kuwa waziri wa mambo ya ndani sio lazima agombee ubunge. Baba yake anaweza akamteua kuwa mbunge.
 
We muongo na mzandiki,kwanza unaweza kuwa ni makonda au msiba kwa tafsiri ya ulichokiandika,bashite na msiba wote ni toilet paper za jiwe iweje wasielewane?
niliwahi kusikia sehemu kuwa musiba na makonda huwa hawaivi chungu kimoja. wanaishi kwa kuviziana.

kwa tukio hili la musiba nimeanza kuamini kile nilichokisikia. ila fresh tu, acha washughulikiane wao kwa wao.
 
Hawa wote bashite na msiba ni toilet papers wa jiwe,wanahadaa wananchi lkn wenye akili hatudanganyiki wajipange tena.
 
Waziri wa mambo ya ndani au waziri mkuu ?

Maana akitaka kuwa waziri wa mambo ya ndani sio lazima agombee ubunge. Baba yake anaweza akamteua kuwa mbunge.

Ndiyo maana hana heshima kwa kaka Majaliwa kabisa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom