Makonda huna mamlaka juu ya Mawaziri na Wakuu wa Mikoa

Huihui2

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
5,277
8,004
Umesikika katika hotuba yako ya leo kuwa utawarukia mawaziri na wakuu wa mikoa. Nakutahadharisha wewe ni kama Ahmed Ally wa Simba au Ali Kamwe wa Yanga, huna nguvu ya kujipangia unachotaka. Una ripoti kwa Katibu Mkuu, ndiyo anakupa kitu cha kuongea.
 
Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
 
Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Baada ya kuwasema Mawaziri je ni nani aliweza kumvua Gamba? Si walimlenga Andrew Chenge? Je nini kilitokea?
 
Baada ya kuwasema Mawaziri je ni nani aliweza kumvua Gamba? Si walimlenga Andrew Chenge? Je nini kilitokea?
Mkuu hayo ni mswala ya ndani ya chama...lengo langu ilikuwa ni kuelezea mamlaka ama nafasi aliyonayo ndani chama kwa sasa.

Kumbuka hata bunge letu linaogopa zaidi chama kuliko serikali...

Makonda kwa sasa kuonana na Rais haitaji kibali ni simu moja tu.
 
Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Wakumbushe hao ma zwaza, Makonda piga kazi mpaka maji waite inya
 
Back
Top Bottom