Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

Nimesoma nikiwa siamini macho yangu taarifa katika Gazeti la Mwananchi (online) kwamba,

Rais John Magufuli...alisisitiza kwamba elimu yake (Makonda) siyo kitu kwake na kwamba hata angekuwa hajui kusoma yeye ni bora kwake kwa sababu anafanya kazi nzuri ambayo hata baadhi ya waliosoma hawaifanyi"

Imeripotiwa kwamba Rais Magufuli aliyasema hayo leo Jumanne wakati akifungua mkutano mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Kilichonishangaza ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, anayejisema kwamba yuko kuinyoosha Tanzania na kuepukana na kila aina ya ufisadi na udanganyifu, anakiri kwamba yuko tayari kumtumia mtu mwenye tuhuma za kosa la kijinai ili mradi tu ni mtenda kazi mzuri, na hatajali malalamiko yanaotolewa dhidi yake, hata kama ni ya kweli?

Nani aliyedai kwamba suala la Makonda ni kutokuwa mfanyakazi bidii? Hakuna. Hata mimi nakubali Makonda ni mchapakazi - lakini haihalalishi kitendo chake cha kufoji, kosa la jinai, kama ni kweli, na Raisi anapaswa aelewe hilo hata bila kuwa na PhD.

Raisi Magufuli anataka tukate shauri kwamba;
  • Kufuata sheria za nchi ni jambo linalotakiwa kufanyika pale tu linapokuwa na manufaa binafsi kwake
  • Suala la baadhi ya watendaji wa kamati za madini kutuhumiwa kwamba nao ni wachafu na raisi akawatetea inawezekana ilikuwa ni zuga tu
  • Raisi anachagua nani wa kuchukuliwa hatua nani wa kuacha pale makosa yanapofanyika
  • Kwa hiyo raisi wa Tanzania anavunja kimakusudi Katiba ya Tanzania inayotaka asimamie sheria za nchi bila kupendelea mtu
Kwa kweli sasa namtazama Raisi wangu Mafgufuli katika mtazamo mpya kabisa. Na ningependa tu ajue kwamba kauli aliyotoa juu ya Makonda, na nyinginezo, katika nchi zenye demokrasia ya kweli ingesababisha aondolewe madarakani.
 
Makonda chapa kazi ....mnasema hana cheti wakati anajenga ofisi za waalimu
 
Nimesoma nikiwa siamini macho yangu taarifa katika Gazeti la Mwananchi (online) kwamba,

Rais John Magufuli...alisisitiza kwamba elimu yake (Makonda) siyo kitu kwake na kwamba hata angekuwa hajui kusoma yeye ni bora kwake kwa sababu anafanya kazi nzuri ambayo hata baadhi ya waliosoma hawaifanyi"

Imeripotiwa kwamba Rais Magufuli aliyasema hayo leo Jumanne wakati akifungua mkutano mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Kilichonishangaza ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, anayejisema kwamba yuko kuinyoosha Tanzania na kuepukana na kila aina ya ufisadi na udanganyifu, anakiri kwamba yuko tayari kumtumia mtu mwenye tuhuma za kosa la kijinai ili mradi tu ni mtenda kazi mzuri, na hatajali malalamiko yanaotolewa dhidi yake, hata kama ni ya kweli?

Nani aliyedai kwamba suala la Makonda ni tokuwa mfanyakazi bidii? Hakuna.

Raisi Magufuli anataka tukate shauri kwamba;
  • Kufuata sheria za nchi ni jambo linalotakiwa kufanyika pale tu linapokuwa na manufaa binafsi kwake
  • Suala la baadhi ya watendaji wa kamati za madini kutuhumiwa kwamba nao ni wachafu na raisi akawatetea inawezekana ilikuwa ni zuga tu
  • Raisi anachagua nani wa kuchukuliwa hatua nani wa kuacha pale makosa yanapofanyika
  • Kwa hiyo raisi wa Tanzania anavunja kimakusudi inayotaka asimamie sheria za nchi bila kupendelea mtu
Kwa kweli sasa namtazama Raisi wangu Mafgufuli katika mtazamo mpya kabisa. Na ningependa tu ajue kwamba kauli aliyotoa juu ya Makonda, na nyinginezo, katika nchi zenye demokrasia ya kweli ingesababisha aondolewe madarakani.
Rais hapangiwi kitu kwa katiba yetu ya 1977 hakuna cha kushangaa hapo Rais yuko right kabisa.
 
Makonda chapa kazi ....mnasema hana cheti wakati anajenga ofisi za waalimu

Hilo siao suala. Kwa hiyo nikiwa muuaji na mtekaji watu lakini najenga flyover Dar es Salaam kwa uzuri sana ni sahihi?
 
Biblia sio gazeti wewe,kilaza atayajulia wapi kutafsiri neno la Mungu
'Be careful watch it, you have the power to type your comment but not to that extent'
 
Mtaendelea kushangaa sana. Huku Watanzania wengine tukisonga mbele katika Tanzania mpya.
Unaacha kushangaa Viongozi wa Chadema kununuliwa na kukisaliti Chama na wapiga kura, unashangaa kauli ya Mh. Rais!
Nenda kashangae feri shilingi inazama Meli inaelea....shubaaaaaaamitt!
 
Jamani hebu tufunge ukurasa wake tu maana no one can stop regge
 
Nimesoma nikiwa siamini macho yangu taarifa katika Gazeti la Mwananchi (online) kwamba,

Rais John Magufuli...alisisitiza kwamba elimu yake (Makonda) siyo kitu kwake na kwamba hata angekuwa hajui kusoma yeye ni bora kwake kwa sababu anafanya kazi nzuri ambayo hata baadhi ya waliosoma hawaifanyi"

Imeripotiwa kwamba Rais Magufuli aliyasema hayo leo Jumanne wakati akifungua mkutano mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Kilichonishangaza ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, anayejisema kwamba yuko kuinyoosha Tanzania na kuepukana na kila aina ya ufisadi na udanganyifu, anakiri kwamba yuko tayari kumtumia mtu mwenye tuhuma za kosa la kijinai ili mradi tu ni mtenda kazi mzuri, na hatajali malalamiko yanaotolewa dhidi yake, hata kama ni ya kweli?

Nani aliyedai kwamba suala la Makonda ni kutokuwa mfanyakazi bidii? Hakuna. Hata mimi nakubali Makonda ni mchapakazi - lakini haihalalishi kitendo chake cha kufoji, kosa la jinai, kama ni kweli, na Raisi anapaswa aelewe hilo hata bila kuwa na PhD.

Raisi Magufuli anataka tukate shauri kwamba;
  • Kufuata sheria za nchi ni jambo linalotakiwa kufanyika pale tu linapokuwa na manufaa binafsi kwake
  • Suala la baadhi ya watendaji wa kamati za madini kutuhumiwa kwamba nao ni wachafu na raisi akawatetea inawezekana ilikuwa ni zuga tu
  • Raisi anachagua nani wa kuchukuliwa hatua nani wa kuacha pale makosa yanapofanyika
  • Kwa hiyo raisi wa Tanzania anavunja kimakusudi Katiba ya Tanzania inayotaka asimamie sheria za nchi bila kupendelea mtu
Kwa kweli sasa namtazama Raisi wangu Mafgufuli katika mtazamo mpya kabisa. Na ningependa tu ajue kwamba kauli aliyotoa juu ya Makonda, na nyinginezo, katika nchi zenye demokrasia ya kweli ingesababisha aondolewe madarakani.


Huuu ndio upuuzi wa JF Moderators ninaouchukia siku hizi wa kuunganisha thread bila kuwa na umakini wa kufikiria. Hawa Moderators wamekuwa kama agents wa serikali siku hizi, kama vile lengo lao ni kupunguza makali au kuficha kukoselewa kwa serikali na viongozi wake. Shame on you JF Moderators. You are undermining Maxime. Give me one good reason kwa nini hii thread iunganishwe na hii ya statement ya Makonda, kama sio kufanya mnachofanya sasa kwa malengo maalum? Baadhi ya nyie Moderators you are killing JF, na labda ndicho mlichotumwa kufanya.

Your thread Hili la Raisi Magufuli juu ya Makonda limenishitua na kunishangaza sana was merged into Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu! Tukisema huyu anajiita Mungu wa Dar hatujakosea, yote ni kulewa madaraka.
9 minutes ago
 
Ni kwamba haujamuelewa, simpo!
Wewe ndio huelewi maana ya sala ya Bwana kitheolojia na ndio maana mnapigia makofi ujinga.Dunia ukimtoa Mungu ni tupu tu haina chochote na ujinga wa kiwango cha lami kudhani kuna sehemu katika upeo wa macho yetu kunaitwa mbinguni.Huyo bashite akasome tena na tena hiyo sehemu hiyo ya sala ya Bwana ili aelewe nini maana ya ufalme wako uje.Msipotoshe maandiko kwa kujipatia walimu makundi makundi
 
DUNIA SIYO YA MUNGU, KWAHIYO DUNIA NI YAKE ILA ANAOMBA MSAADA KWA MUNGU KUIENDESHA, hapana huyu sio mkristo, dini take itakuwa inafanana ya ya Kristo, tangu wadogo tunafundishwa dunia na vyote vijazavyo ni Mali ya mungu, Leo hii anatokea huyu anatuambia dunia sio Mali ya mungu, huu ni umajinuni uliopotiliza, alianza kusema dasalamu ni mkoa wake, Leo anasema dunia si ya mungu
 
Tulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..

Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh

Acha wivu
Una matatizo ya akili wewe!
 
Zero brain kakufuru..uumbe kitu halafu kisiwe cha kwako. Hiki ni kichekesho
 
NI UONGO DHAHILI.LABDA ATUAMBIE AMEITOA KWENYE BIBLIA GANI
 
Hajui kutofautisha kati ya Mungu kuumba mbingu na dunia
Na ufalme wa Mungu ushuke duniani
Huu ndio ukilaza wenyewe sasa
 
Mshahara wa dhambi ni mauti. Kisasi ni cha Mungu, msifadhaike mioyoni mwenu!
 
Mnahangaika bure na makonda, yeye anachapa kazi aliyotumwa nanyi fanya za kwenu
kila mtu ana haki ya kuamini anachotaka...MBONA WA INDI WANAAMINI NG'OMBE WAKATI SISI TUNAMLA. usitake watu waamini unachotaka wewe... be wise fool
 
Back
Top Bottom