Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,672
miaka nane????Bado miaka nane tu....JPM ataondoka....mkuu wa mkoa nae ajiandae kuondoka nae...JPM mwenzake atakua anastaafu..sijui yeye atakua anaenda kufanya nn?
miaka nane????Bado miaka nane tu....JPM ataondoka....mkuu wa mkoa nae ajiandae kuondoka nae...JPM mwenzake atakua anastaafu..sijui yeye atakua anaenda kufanya nn?
Hakuna mfano wowote wa kuiga Tanganyika na unguja ni muungano wenye ukakasi na dalili za ukakasi zimeanzia caf kuifuta uanachama wa Moira wamiguu kama sehemu ya muungano wa Tanganyika mpaka Leo unguja hawapendi kukosa kiti AU na UNO kwa sababu rais wanaye bendera wanayo bunge wanalo hata wimbo wa taifa wanao kwa mini wàbebwe kwa hiyo nikuomba ccm iendelee kuongoza Siku ccm ikishindwa zenj muungano haupoKama ulivyokuwa upepo mkali wa mabadiliko ulioanzia Tunisia na kusambaa Asia na Ulaya,sasa upo upepo mkali wa kujitenga. Upepo wa mabadiliko uliotokomezwa Syria,uling'oa viongozi waliokuwa madarakani kwa muda mrefu kama Zine El Abidine Ben Ali wa Tunisia na Muhammar Gaddafi wa Libya. Upepo ukavuma Yemen kwa Ali Abdullah Saleh na Syria kwa Bashir Al Assad kutaja nchi chache.
Sasa ni dhahiri kuna upepo wa kujitenga na kujitangazia uhuru. Upepo upo Asia,Ulaya na Afrika.Huko Iraq ambapo ni Asia,Wakurdi wameendesha kura ya maoni ya kutaka kujitenga iliyopingwa na kupondwa na watawala wa Iraq na sasa kunafukuta.
Ndani ya Ulaya nchini Hispania,Jimbo la Catalunya limepiga kura tata ya maoni ya kutaka kujitenga kutoka Hispania. Kama ilivyo Iraq,Serikali kuu ya Hispania imepinga na kuita kura ya maoni kuwa ni ubatili mtupu. Hapa Afrika,sehemu inayozungumza kiingereza huko Cameroon inataka kujitenga. Inadhibitiwa lakini panafukuta. Nchini Cameroon,kuna sehemu zinazozungumza kifaransa na zile za kiingereza.
Tunapaswa kujivunia misingi imara tuliyonayo ya umoja,amani,utulivu na mshikamano wetu. Tunapaswa kusonga mbele kama Taifa na kuepuka 'pepo chafu' zinazovuma sasa ulimwenguni. Tanzania ni nchi ya kujivunia na kupigiwa mfano.
Vipi wale wasioamini uwepo wa Mungu?
Msameheni tu maana hajielewi kabisa. Ukisoma Mithali 28:16 a utaelewa shida iko wapi. Ana kitu kilichopunguaHuyu bwana mdogo ameenda mbali kwa kusema hii dunia sio ya mwenyezi Mungu. Je nani muumba wa dunia hii na viumbe vilivyomo. Ni kosa kutafuta kiki za kisiasa kwa kumhusisha Mwenyezi Mungu.
Mnahangaika bure na makonda, yeye anachapa kazi aliyotumwa nanyi fanya za kwenu
Mtetezi! Uwa haoni baya lolote la huyo jamaa, mtu akikupenda namna hii mwogope maana anakupotezaMapemaa umewahi seat ya kwanza![]()
![]()
![]()
Hapa alikuwa anadaiwa chetiKama sio ya Mungu hapa alikuwa anamlilia nani?View attachment 601726
Nimesikiliza hii clip mara 4 huyu dogo kalewa madaraka na ameamua sasa kumdhihaki mungu. Hatari sana huyu anastahili apate adhabu ya mungu akiwa hapa2 dunianiHuu upumbafu Bashite atamdanganya tu Pombe
Mwambie boss akuongezee mshahara unastahili kwa kazi kubwa unayo fanya.Tulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..
Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh
Acha wivu