christelly
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,462
- 1,466
Fedha na dhahabu na vyote viijazavyo dunia ni mali ya BWANA....
mungu wa sisiemKama sio ya Mungu hapa alikuwa anamlilia nani?View attachment 601726
doooh una nguvu!! Maana wenzio wote wameshachoka kumtetea mungu wenuTulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..
Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh
Acha wivu
Atamtengenezea njia ya kuwa rais, yeye ndie Mungu wa Chama cha manunuzi, hakuna kinachoshindikanaBado miaka nane tu....JPM ataondoka....mkuu wa mkoa nae ajiandae kuondoka nae...JPM mwenzake atakua anastaafu..sijui yeye atakua anaenda kufanya nn?
Bashite anakuingilia nyuma?Tulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..
Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh
Acha wivu
Mpelekeeni taatifa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mwambieni kwa niaba ya watumishi wote duniani nampinga kwa maandiko zaidi ya saba yanayokanusha uongo aliouongea hadharani:-
1.kwanza hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na dunia.
2.Baba anaitwa Muumba wa mbingu na nchi (dunia)
3.Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.
4.Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu......
5.Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
6.Paulo anasema katika Waefeso 3:14-15
Kwa hiyo nampigia Baba magoti,ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,
7.makonda asichanganye maandiko ,MUNGU anasema anatawala mbinguni na duniani ,maana yake utawala wake upo hapa tayari,dola ipo hapa,usalama wa taifa la duniani tuko hapa tukishirikiana na usalama wa mbinguni......mwambieni aendelee
tu na siasa ,mambo ya MUNGU atuachie tunaotetea maslahi ya MUNGU wa mbingu na dunia!
Nukuu toka kwa Kuhani Philemon Mwansepe
(Zab 24:1)Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
The earth is the LORD' s, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.
MITHALI 16:18 Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.
Okey masogange ila sidhani kama huyo jamaa ana wivu naona wewe ndo mwenye wivu.Tulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..
Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh
Acha wivu
Ni Makonda mwenyewe huyu brotherMapemaa umewahi seat ya kwanza![]()
![]()
![]()
Awamu ina majanga hiiKama sio ya Mungu hapa alikuwa anamlilia nani?View attachment 601726
Biblia sio gazeti wewe,kilaza atayajulia wapi kutafsiri neno la MunguKwani hapo makonda kakosea nn?
Amefafanua Kama walivoandika kweny Biblia n hapo hajakosea chchte ttzo Watu MNA wivu tu wakidada,
Wenye mapovu ruksa.



