Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,383
- 10,953
Is the President above the law?Rais hapangiwi kitu kwa katiba yetu ya 1977 hakuna cha kushangaa hapo Rais yuko right kabisa.
Is the President above the law?Rais hapangiwi kitu kwa katiba yetu ya 1977 hakuna cha kushangaa hapo Rais yuko right kabisa.
Kweli kabisa! Upendeleo hudanganya......Mtetezi! Uwa haoni baya lolote la huyo jamaa, mtu akikupenda namna hii mwogope maana anakupoteza
Hata kama wamesikia hawawezi kufanya chochote they were praying for the wrong person. Siye yeye aliyekuwa akiombewaMasheikh waliomwombea wamesikia alichosema?!
miaka nane????
Kelele zetu zisizoisha kwa Makonda wala hazitusaidii Sisi pamoja na nchi yetu na kikubwa kila Mtu atimize tu wajibu wake kwa kile kinachompatia mkate wake wa kila siku. Kumuandama Kwenu Makonda ndiyo kunazidi tu kumjenga na kumpa Imani aliyemteua kuwa ana Jemedari wa kweli ambaye ni Kiboko ya Watu. Makelele yenu haya ndiyo yanazidi tu kumkomaza hivyo tuache kila siku kujibiidisha kupaka rangi upepo juu ya suala zima la Makonda. Tunapoteza sana muda juu ya kumjadili Yeye tu kila uchao.
Ni kweli! Dunia ni mali ya mwenyekiti wa ccm anaewapa akina bashite uhai na jeuri!
mkuu umekata tamaaKelele zetu zisizoisha kwa Makonda wala hazitusaidii Sisi pamoja na nchi yetu na kikubwa kila Mtu atimize tu wajibu wake kwa kile kinachompatia mkate wake wa kila siku. Kumuandama Kwenu Makonda ndiyo kunazidi tu kumjenga na kumpa Imani aliyemteua kuwa ana Jemedari wa kweli ambaye ni Kiboko ya Watu. Makelele yenu haya ndiyo yanazidi tu kumkomaza hivyo tuache kila siku kujibiidisha kupaka rangi upepo juu ya suala zima la Makonda. Tunapoteza sana muda juu ya kumjadili Yeye tu kila uchao.