Huyu bwana mdogo ameenda mbali kwa kusema hii dunia sio ya mwenyezi Mungu. Je nani muumba wa dunia hii na viumbe vilivyomo. Ni kosa kutafuta kiki za kisiasa kwa kumhusisha Mwenyezi Mungu.
Nimesoma nikiwa siamini macho yangu taarifa katika Gazeti la Mwananchi (online) kwamba,
Rais John Magufuli...alisisitiza kwamba elimu yake (Makonda) siyo kitu kwake na kwamba hata angekuwa hajui kusoma yeye ni bora kwake kwa sababu anafanya kazi nzuri ambayo hata baadhi ya waliosoma hawaifanyi"
Imeripotiwa kwamba Rais Magufuli aliyasema hayo leo Jumanne wakati akifungua mkutano mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Kilichonishangaza ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, anayejisema kwamba yuko kuinyoosha Tanzania na kuepukana na kila aina ya ufisadi na udanganyifu, anakiri kwamba yuko tayari kumtumia mtu mwenye tuhuma za kosa la kijinai ili mradi tu ni mtenda kazi mzuri, na hatajali malalamiko yanaotolewa dhidi yake, hata kama ni ya kweli?
Nani aliyedai kwamba suala la Makonda ni kutokuwa mfanyakazi bidii? Hakuna. Hata mimi nakubali Makonda ni mchapakazi - lakini haihalalishi kitendo chake cha kufoji, kosa la jinai, kama ni kweli, na Raisi anapaswa aelewe hilo hata bila kuwa na PhD.
Raisi Magufuli anataka tukate shauri kwamba;
Kwa kweli sasa namtazama Raisi wangu Mafgufuli katika mtazamo mpya kabisa. Na ningependa tu ajue kwamba kauli aliyotoa juu ya Makonda, na nyinginezo, katika nchi zenye demokrasia ya kweli ingesababisha aondolewe madarakani.
- Kufuata sheria za nchi ni jambo linalotakiwa kufanyika pale tu linapokuwa na manufaa binafsi kwake
- Suala la baadhi ya watendaji wa kamati za madini kutuhumiwa kwamba nao ni wachafu na raisi akawatetea inawezekana ilikuwa ni zuga tu
- Raisi anachagua nani wa kuchukuliwa hatua nani wa kuacha pale makosa yanapofanyika
- Kwa hiyo raisi wa Tanzania anavunja kimakusudi Katiba ya Tanzania inayotaka asimamie sheria za nchi bila kupendelea mtu
Mpelekeeni taatifa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mwambieni kwa niaba ya watumishi wote duniani nampinga kwa maandiko zaidi ya saba yanayokanusha uongo aliouongea hadharani:-
1.kwanza hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na dunia.
2.Baba anaitwa Muumba wa mbingu na nchi (dunia)
3.Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.
4.Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu......
5.Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
6.Paulo anasema katika Waefeso 3:14-15
Kwa hiyo nampigia Baba magoti,ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,
7.makonda asichanganye maandiko ,MUNGU anasema anatawala mbinguni na duniani ,maana yake utawala wake upo hapa tayari,dola ipo hapa,usalama wa taifa la duniani tuko hapa tukishirikiana na usalama wa mbinguni......mwambieni aendelee
tu na siasa ,mambo ya MUNGU atuachie tunaotetea maslahi ya MUNGU wa mbingu na dunia!
Nukuu toka kwa Kuhani Philemon Mwansepe
(Zab 24:1)Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
The earth is the LORD' s, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.
MITHALI 16:18 Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.
We manzi sikuelewagi nakuonaga waki sana ujue.Tulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..
Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh
Acha wivu
Mpelekeeni taatifa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mwambieni kwa niaba ya watumishi wote duniani nampinga kwa maandiko zaidi ya saba yanayokanusha uongo aliouongea hadharani:-
1.kwanza hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na dunia.
2.Baba anaitwa Muumba wa mbingu na nchi (dunia)
3.Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.
4.Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu......
5.Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
6.Paulo anasema katika Waefeso 3:14-15
Kwa hiyo nampigia Baba magoti,ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,
7.makonda asichanganye maandiko ,MUNGU anasema anatawala mbinguni na duniani ,maana yake utawala wake upo hapa tayari,dola ipo hapa,usalama wa taifa la duniani tuko hapa tukishirikiana na usalama wa mbinguni......mwambieni aendelee
tu na siasa ,mambo ya MUNGU atuachie tunaotetea maslahi ya MUNGU wa mbingu na dunia!
Nukuu toka kwa Kuhani Philemon Mwansepe
(Zab 24:1)Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
The earth is the LORD' s, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.
MITHALI 16:18 Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.
Una matatizo ya akili wewe!
We manzi sikuelewagi nakuonaga waki sana ujue.
Hivi una basha kweli? Au ni ngunga zinafanyaga akili yako igande?