Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

Makonda anasema hupata bahati ya kumuona Rais kwa nadra sana
 
Huyu bwana mdogo ameenda mbali kwa kusema hii dunia sio ya mwenyezi Mungu. Je nani muumba wa dunia hii na viumbe vilivyomo. Ni kosa kutafuta kiki za kisiasa kwa kumhusisha Mwenyezi Mungu.

We naye hata hujui albadir inavyofanya kazi!Hizo ni dalili za awali tu,ngoja kikichanganya ndio utakubali.
 
Nimesoma nikiwa siamini macho yangu taarifa katika Gazeti la Mwananchi (online) kwamba,

Rais John Magufuli...alisisitiza kwamba elimu yake (Makonda) siyo kitu kwake na kwamba hata angekuwa hajui kusoma yeye ni bora kwake kwa sababu anafanya kazi nzuri ambayo hata baadhi ya waliosoma hawaifanyi"

Imeripotiwa kwamba Rais Magufuli aliyasema hayo leo Jumanne wakati akifungua mkutano mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Kilichonishangaza ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, anayejisema kwamba yuko kuinyoosha Tanzania na kuepukana na kila aina ya ufisadi na udanganyifu, anakiri kwamba yuko tayari kumtumia mtu mwenye tuhuma za kosa la kijinai ili mradi tu ni mtenda kazi mzuri, na hatajali malalamiko yanaotolewa dhidi yake, hata kama ni ya kweli?

Nani aliyedai kwamba suala la Makonda ni kutokuwa mfanyakazi bidii? Hakuna. Hata mimi nakubali Makonda ni mchapakazi - lakini haihalalishi kitendo chake cha kufoji, kosa la jinai, kama ni kweli, na Raisi anapaswa aelewe hilo hata bila kuwa na PhD.

Raisi Magufuli anataka tukate shauri kwamba;
  • Kufuata sheria za nchi ni jambo linalotakiwa kufanyika pale tu linapokuwa na manufaa binafsi kwake
  • Suala la baadhi ya watendaji wa kamati za madini kutuhumiwa kwamba nao ni wachafu na raisi akawatetea inawezekana ilikuwa ni zuga tu
  • Raisi anachagua nani wa kuchukuliwa hatua nani wa kuacha pale makosa yanapofanyika
  • Kwa hiyo raisi wa Tanzania anavunja kimakusudi Katiba ya Tanzania inayotaka asimamie sheria za nchi bila kupendelea mtu
Kwa kweli sasa namtazama Raisi wangu Mafgufuli katika mtazamo mpya kabisa. Na ningependa tu ajue kwamba kauli aliyotoa juu ya Makonda, na nyinginezo, katika nchi zenye demokrasia ya kweli ingesababisha aondolewe madarakani.

Usicheze na bebi wake.
 
...duh...huyu choko bashite amelaaniwa kweli kweli...anasema dunia si Mali ya Mungu???...is he insane!!...Ebu aende akasome kitabu cha Mwanzo kwenye biblia...aone Mungu alivyoiumba dunia kwa neno tu...na baadae binadamu...

...hili la kupotosha biblia hivi linatakiwa likemewe na wachungaji na maaskofu kore nchini..maana huyu choko anapotosha bibli wazi wazi mbele ya umma...
....nategemea kina Gwajima lazima majibu hili...haliwezi kupita hivi hivi....
 



Mpelekeeni taatifa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mwambieni kwa niaba ya watumishi wote duniani nampinga kwa maandiko zaidi ya saba yanayokanusha uongo aliouongea hadharani:-

1.kwanza hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na dunia.

2.Baba anaitwa Muumba wa mbingu na nchi (dunia)

3.Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.

4.Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu......

5.Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

6.Paulo anasema katika Waefeso 3:14-15
Kwa hiyo nampigia Baba magoti,ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,

7.makonda asichanganye maandiko ,MUNGU anasema anatawala mbinguni na duniani ,maana yake utawala wake upo hapa tayari,dola ipo hapa,usalama wa taifa la duniani tuko hapa tukishirikiana na usalama wa mbinguni......mwambieni aendelee
tu na siasa ,mambo ya MUNGU atuachie tunaotetea maslahi ya MUNGU wa mbingu na dunia!

Nukuu toka kwa Kuhani Philemon Mwansepe

(Zab 24:1)Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

The earth is the LORD' s, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.

MITHALI 16:18 Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.

Amevimbiwa i mean anamadaraka ambayo hayakuandikwa ktk uzao wao hivyo anajisahahu kama binadam. Japo...
 
e21750e074154f347e3c65ec64d0206d.jpg
 
Kwa hiki kipengele kidogo tu "Dunia sio ya Mungu, Duniani tumekuja kupambana na mamlaka ya Shetani".........nimekuelewa sana Makonda, it's written all over Maandiko and everywhere else!! The World is an illusion (spiritual dream)

Quran: 47:36. The life of the world is but a sport and a pastime. And if ye believe and ward off (evil), He will give you your wages [on J-DAY], and will not ask of you your worldly wealth.
 
Tulia bila wivu wako juu yake usikilize tena hadi mwisho..

Ona mgazeti wote umeenda kusoma Bible na ku C&P kuja kuandika majanga huku hauna subira wala hauelewi unayosikiliza.. eeeh

Acha wivu
We manzi sikuelewagi nakuonaga waki sana ujue.

Hivi una basha kweli? Au ni ngunga zinafanyaga akili yako igande?
 
Kweli mlango wa nyuma bana ni Nouma mpaka inafkia panya anajiona Mungu
 
Fanya yote lakini usifanye kiburi na Mungu. Dunia ya nani, Trump? Watu kama hawa wenye kiburi walitokea.wengi sana kwenye historia ya dunia na wooooòte mwenye dunia mwisho wake anawaonyesha na kudhalilika hapa duniani ili kuwa kama somo kwa wengine. Omba radhi haraka sana kwa mola wake kijana! Huo wadhifa uliokuwa nao ni mdogo sana tena mdogo sana. Kwa hapa Africa nafikiria hata top 1000 utakuwa humo!
 



Mpelekeeni taatifa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mwambieni kwa niaba ya watumishi wote duniani nampinga kwa maandiko zaidi ya saba yanayokanusha uongo aliouongea hadharani:-

1.kwanza hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na dunia.

2.Baba anaitwa Muumba wa mbingu na nchi (dunia)

3.Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.

4.Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu......

5.Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

6.Paulo anasema katika Waefeso 3:14-15
Kwa hiyo nampigia Baba magoti,ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,

7.makonda asichanganye maandiko ,MUNGU anasema anatawala mbinguni na duniani ,maana yake utawala wake upo hapa tayari,dola ipo hapa,usalama wa taifa la duniani tuko hapa tukishirikiana na usalama wa mbinguni......mwambieni aendelee
tu na siasa ,mambo ya MUNGU atuachie tunaotetea maslahi ya MUNGU wa mbingu na dunia!

Nukuu toka kwa Kuhani Philemon Mwansepe

(Zab 24:1)Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

The earth is the LORD' s, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.

MITHALI 16:18 Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.

Makonda...BASHITE..msameheni Bure. ..inaonekana hata open book paper anpata ZERO..anaquot bible alafu haijui..anataka kujihalalushia kwa maandiko FEKI.?
 
Swali langu moja tu, hivi Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa sheria za dini?
Kama jibu ni hapana, mbona kila siku magu na bashite wakiongea ni mungu mungu mungu, ndiyo njia pekee ya kushika akili za wajinga?
 
Back
Top Bottom