Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

Makonda: Hii dunia sio mali ya Mungu

Mkuu endelea kujitoa ufahamu tu na kubishana vitu vidogo......

Kudanganya watu hapa kuwa Rais huyu kabakisha miaka minane ndiyo wajiona wewe una ufahamu, siyo?

Kwa reference ya katiba ipi mkubwa?

Soma katiba ya JMT uelewe. Mhula mmoja wa Rais kukaa madarakani ni miaka mitano tu... Nothing more, nothing less!!

Kwa hesabu huyu wa kwako hajabakisha miaka nane bali ni miwili na sehemu kidogo...!!

Panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu, akipata nafasi ya kugombea uchaguzi ujao wa oktoba 2020 na kushinda atapata term nyingine ya miaka mitano tena na mara baada ya kuapishwa unaanza kutoa muda wake wa kukaa madarakani kutoka ktk miaka mitano.....

Hii mitano isiyokuwepo ambayo wewe sijui kwa base ipi unayoijumlisha na kupata nane haipo kwa sbb wala yeye si mgombea, si mshindi na wala uchaguzi haujafanyika....!!

Iliyo halali yake bila kujali ataimaliza ama vipi ni hii miwili na ushee kidogo aliyobaki nayo....

Nimeona nikupe shule kidogo ufunguke na kisha uelewe na kwamba hakuna mtu anayejitoa ufahamu unless wewe uniambie ndiye uliyeamua kung'oa ufahamu wako kwenye reli ya fikra jadifu, na siyo mimi....!!

Kwa heri na usiku mwema...
 
Tusidhani kuwa hili kalisema kwa bahati mbaya. Ndio aina ya ushauri utolewayo mbele ya mkuu wa kaya kuwa Mungu hajishughulishi na mambo ya duniani. Amewaachia wao wenye madaraka watende wapendavyo dhidi ya wengine hasa mashetani (wapinzani). Kwa dhana hizi nchi itavurugika mno!!!
 
Luke 1.52
He has deposed the powerful from their seat, and he has exalted the humble.
 



Mpelekeeni taatifa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam mwambieni kwa niaba ya watumishi wote duniani nampinga kwa maandiko zaidi ya saba yanayokanusha uongo aliouongea hadharani:-

1.kwanza hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na dunia.

2.Baba anaitwa Muumba wa mbingu na nchi (dunia)

3.Isaya 45:18
Maana BWANA, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine.

4.Isaya 66:1
BWANA asema hivi, Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu......

5.Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

6.Paulo anasema katika Waefeso 3:14-15
Kwa hiyo nampigia Baba magoti,ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,

7.makonda asichanganye maandiko ,MUNGU anasema anatawala mbinguni na duniani ,maana yake utawala wake upo hapa tayari,dola ipo hapa,usalama wa taifa la duniani tuko hapa tukishirikiana na usalama wa mbinguni......mwambieni aendelee
tu na siasa ,mambo ya MUNGU atuachie tunaotetea maslahi ya MUNGU wa mbingu na dunia!

Nukuu toka kwa Kuhani Philemon Mwansepe

(Zab 24:1)Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

The earth is the LORD' s, and the fulness thereof; the world, and they that dwell therein.

MITHALI 16:18 Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.

Zile walizosoma waislamu zimeanza kufanya kazi
 
Huyu kumbe ni zero brain kweli? Mahubiri gani hayo? Aachane kabisa na hayo mambo. Mungu hadhihakiwi. Na hakuna mtu aliyewahi kumbeza Mungu akabaki salama.
 
Makonda nyie mnamjua kichwani amuna kitu ata vyeti kafoji Sasa why mkazane na kilaza anaestahili kuingia milembe tena ya kule Zanzibar.
 
Back
Top Bottom