CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 5,062
- 8,664
Makonda ni mropokaji tu hivi hajui kuwa CAG anapita hata kwenye vyama vya siasaIle nyumba ya mtu waliyopanga CHADEMA pale mikocheni ndio kusema imejengwa na hela za CCM au kodi kalipa mama!
Ufafanuzi tafadhali.