Chizi kalogwa tenaMkuu makonda anawajibishwa kwa kosa moja tu ya kupinga hadharani Ushoga. Hayo mengine ya democrasia ni janja janja tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chizi kalogwa tenaMkuu makonda anawajibishwa kwa kosa moja tu ya kupinga hadharani Ushoga. Hayo mengine ya democrasia ni janja janja tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo ndio chinja chinja na mkuu wa wasiojulikana sasa wameanza kujulikana. Hakuna mjanja chini ya jua.Mkuu makonda anawajibishwa kwa kosa moja tu ya kupinga hadharani Ushoga. Hayo mengine ya democrasia ni janja janja tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Ana umashine gani? Haya Israel wakitaka kumuuwa wanaweza,nakuhakikishia.