technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kwanini walimtungua general Kassim wakamuacha Ayatolah? Tuanzie hapo.Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Zimo kichwani kweli?Mkuu makonda anawajibishwa kwa kosa moja tu ya kupinga hadharani Ushoga. Hayo mengine ya democrasia ni janja janja tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yah right.... Utafikiri Makonda ndiye mtu wa kwanza kuupinga ushoga.Mkuu makonda anawajibishwa kwa kosa moja tu ya kupinga hadharani Ushoga. Hayo mengine ya democrasia ni janja janja tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Subiri wameanza na malaika wake. Atakapobaki mpweke watajitwalia tu.Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Marekani ni wataalamu wa kucheza draft, ile kete waliyomsogezea mzee aile ni ya hatari sana. Mpaka sasa mzee anatafuta kete ya kusukuma lakini haioni, maana kila kete anayotaka kuigusa anaona kabisa kuwa anapigwa Super.Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Hata mbuyu ulianza kama mchichaHakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Mh..huu uandiashi nna mashaka naoMarekani ni wataalsmu wa kucheza draft, ile kete waliyomsigezea mzee ale nibya hatari sans. Mpaka sasa mzee anatafuta kete ya kusukuma lakini haioni, maana kele kete anayotaka kuigusa anaona kabisa anaona kabisa anapigwa kuwa Super.
Tatizo Magufuli kashajiwekea mwenyewe vikwazo vya kwenda Marekani.Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Sasa si inaonekana hapo hio ni typo au?Mh..huu uandiashi nna mashaka nao
Kabla ya kukata shina tunaanza na matawi.Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Ile ni message sent kapigwa mbwa mwenye mbwa apate salamuHakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.
Huwezi tenganisha mguu Wa meza na meza.Ila ushirika Wa wachawi si Wa kudumu.Tuandae popcornHuhitaji kuwa na PhD kujua kuwa Bashite anatumwa!