Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,180
- 24,798
Aisee zitammaliza...duh!Na ile ya kumtukana mama wa watu ndio kwanza ahamie ile ofisi.. kwamba ndio hao wehu
Aisee zitammaliza...duh!Na ile ya kumtukana mama wa watu ndio kwanza ahamie ile ofisi.. kwamba ndio hao wehu
Kunywa maji mwananguYaan hawa watu wawili sizonje na mdogo wake wanankera sana....nataka kutafuta visa niende msumbiji
na kutukana watumisji kuwaita magogo pale ofisini kwake eti ni 4 tu ndo wanafanya kaziNa ile ya kumtukana mama wa watu ndio kwanza ahamie ile ofisi.. kwamba ndio hao wehu
Mungu anapenda Sala za mkono wa kulia umetoa wa kushoto usijue...Sio mbaya, ni ishara ya kutambua udhaifu na unyonge wake, ni ishara ya kumtaka Mungu na nguvu sake.
Ni nani aliye mkamilifu mbele za Mungu? Nampongeza Makonda kwa kutambua kuwa pasipo msaada wa Mungu hataweza.
Imeandikwa, "Ni Heri kumkimbilia BWANA kuliko kuwatumainia wanadamu. Ni Heri kumkimbilia BWANA kuliko kuwatumainia wakuu". Zab.118: 8-9
Vv
Hivi hii picha ni ya kweli au ujanja ujanja? Maana Daah...![]()
![]()
Hii Haina ubishi ukimuona Mtu anamtafuta sana Mungu kuliko kawaida yake ujue anasababu za kufanya hivyo inawezekana kuwa amegundua ukweli kwamba ametenda dhambi hivyo ameamua kutubu, lakini hii mtu anakaa kwenye dini moja tu, either anapitia kipindi ambacho ni kigumu yeye mwenyewe kwa uwezo wake hawezi,
Kutokana na maneno yaliyowekwa kwenye picha hizi na mambo yanayoendelea bila shaka muheshimiwa anapitia kwenye kipindi kigumu,
Mshahara wa dhambi ni mauti
Ingekuwa ya uongo angekanusha mkuuHivi hii picha ni ya kweli au ujanja ujanja? Maana Daah...
Basi kuna tatizo kubwa sana, si kama tunavyochukulia...Ingekuwa ya uongo angekanusha mkuu
Hilo nalo ni tatizoNijuavyo mm kila mmoja ana imani yake, kama ni mkristo inamaana haamini uilam, kama ni muislam ina maana huamini juu ya ukristo ndiyo maana hata kwenye viap vya viongozi hutumia kitabu cha dini yake tu , kama msahafu ni msahafu tu na kama ni biblia ni bibli tu.
Kinachomgharimu Daudi Bashite ni unafiki wa kutaka maombi ya dini zote mbili wakati miungu wa dini hizi mbili haipatani.