Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,562
- 3,559
Hawezi kuitegemea SERIKALI kwa ulinzi...alikwisha waumbua akina SIRO....!!
Hawezi kuwategemea RAIA katika AMANI, UPENDO, UMOJA na USALAMA....kwa sababu kesha wavuruga..!
Hana marafiki ENZI na hatarajii kupata marafiki wapya wa UKWELI....sababu wengi hawamuamini tena..!!
Ndugu wa DAMU wamemuona amevimba kichwa na hashauriki toka alipopata MADARAKA makubwa..!!
Ni wazi sasa anapita katika DARAJA ambalo pengine halitoshi yeye kuweka miguu yake miwili na kuweza KUVUKA ama pengine anapita katika DARAJA ambalo haoni KULIA kwake, KUSHOTONI wala MWISHO wake....!!
Kwa hali kama hii atatamani MKUU wake amtumbue walau aweze ISHI kama awali....
Kweli kijana anapitia KIPINDI kigumu...!!
Hawezi kuwategemea RAIA katika AMANI, UPENDO, UMOJA na USALAMA....kwa sababu kesha wavuruga..!
Hana marafiki ENZI na hatarajii kupata marafiki wapya wa UKWELI....sababu wengi hawamuamini tena..!!
Ndugu wa DAMU wamemuona amevimba kichwa na hashauriki toka alipopata MADARAKA makubwa..!!
Ni wazi sasa anapita katika DARAJA ambalo pengine halitoshi yeye kuweka miguu yake miwili na kuweza KUVUKA ama pengine anapita katika DARAJA ambalo haoni KULIA kwake, KUSHOTONI wala MWISHO wake....!!
Kwa hali kama hii atatamani MKUU wake amtumbue walau aweze ISHI kama awali....
Kweli kijana anapitia KIPINDI kigumu...!!