tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,440
Anapitia au Kajipitisha?
Itakuwa kapitishwaAnapitia au Kajipitisha?
Kama Mshahara wa dhambi ni mauti basi ni lazima ukitenda dhambi ukutwe na mauti .![]()
![]()
Hii Haina ubishi ukimuona Mtu anamtafuta sana Mungu kuliko kawaida yake ujue anasababu za kufanya hivyo inawezekana kuwa amegundua ukweli kwamba ametenda dhambi hivyo ameamua kutubu, lakini hii mtu anakaa kwenye dini moja tu, either anapitia kipindi ambacho ni kigumu yeye mwenyewe kwa uwezo wake hawezi,
Kutokana na maneno yaliyowekwa kwenye picha hizi na mambo yanayoendelea bila shaka muheshimiwa anapitia kwenye kipindi kigumu,
Mshahara wa dhambi ni mauti
KWA sauti ya kingwenduNa badoooo
Cheo kina raha yake africaSi ajiuzulu tu kwanza atapangiwa kazi nyingine GSM
Kwn uongoHuu ni zaidi ya uchochezi
Mkuu samahani.Mm nikikumbuka alivyomtukana yule mtumishi wa halmashauri sina hamu naye!
Na bado
Nijuavyo mm kila mmoja ana imani yake, kama ni mkristo inamaana haamini uilam, kama ni muislam ina maana huamini juu ya ukristo ndiyo maana hata kwenye viap vya viongozi hutumia kitabu cha dini yake tu , kama msahafu ni msahafu tu na kama ni biblia ni bibli tu.
Kinachomgharimu Daudi Bashite ni unafiki wa kutaka maombi ya dini zote mbili wakati miungu wa dini hizi mbili haipatani.
Kwahiyo anawachonganisha mungu wa wakristu na mungu wa waislamu au sio....Dua zote zinasambaratika.Akitoka hapo anaenda kwa Masogange.