PogbaSizonje ndio nani?
![]()
![]()
Hii Haina ubishi ukimuona Mtu anamtafuta sana Mungu kuliko kawaida yake ujue anasababu za kufanya hivyo inawezekana kuwa amegundua ukweli kwamba ametenda dhambi hivyo ameamua kutubu, lakini hii mtu anakaa kwenye dini moja tu, either anapitia kipindi ambacho ni kigumu yeye mwenyewe kwa uwezo wake hawezi,
Kutokana na maneno yaliyowekwa kwenye picha hizi na mambo yanayoendelea bila shaka muheshimiwa anapitia kwenye kipindi kigumu,
Mshahara wa dhambi ni mauti
Hii nayo sijawai kuisikiaHivi ile simu iliyoibiwa bunge la katiba muhusika alitubu?

Huu ni zaidi ya uchocheziAkitoka hapo anaenda kwa Masogange.
Hizi mambo za kwenda kwenye maombi afu ujipost mitandaoni sio nzuri hata kidogo.Sio mbaya, ni ishara ya kutambua udhaifu na unyonge wake, ni ishara ya kumtaka Mungu na nguvu sake.
Ni nani aliye mkamilifu mbele za Mungu? Nampongeza Makonda kwa kutambua kuwa pasipo msaada wa Mungu hataweza.
Imeandikwa, "Ni Heri kumkimbilia BWANA kuliko kuwatumainia wanadamu. Ni Heri kumkimbilia BWANA kuliko kuwatumainia wakuu". Zab.118: 8-9
Vv
Si yule wa "I wish I Kuldu be IGP"Sizonje ndio nani?
Jifikirieni upya. Mtachanganyikiwa SanaKamungu kadogo hako
Daudi Bashite au MUNGU MTOTO.
Utumishi wa umma ni kama wa Mungu unatikiwa kuwa na busara, maarifa na hekima.Mm nikikumbuka alivyomtukana yule mtumishi wa halmashauri sina hamu naye!