mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,527
- 10,538
Kumbe alikuwa na koroboi moja ya mafuta sasa vifutu wameibuka na vyeti na bado Manji hajaanza.Mungu siku zote uwashusha wanaojikweza,kujifananisha na Mungu ni kufuru kubwa sana Kwa mwanadamu, maisha ya kujipendekeza,kujikweza,kuwatakia mabaya wenzio huwa hayana mwisho mzuri,usirushe mawe hali unaishi nyumba ya vioo.Na hakuna siri chini ya jua, ukimwaga mafuta kwenye shimo la nyoka hakikisha unayo mafuta ya kutosha.