MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli was BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali was kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hill.
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au no ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hill no kwa mujibu was sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
BBC hawana credibility kabisa. It's a mouthpiece for liberalism. Hawana jema wanaloliongea kuhusu Afrika. Kumbukeni ile kampeni waliyoifanya dhidi ya Mugabe. Halafu wakamgeukia Rais Kagame na ile documentary ya kipuuzi kuhusu mauaji ya kimbari dhidi ya Tutsi. Despicable this organization is. Safi sana Mheshimiwa Makonda kumnyoosha huyu dada wa BBC. Kwa awamu hii wamekwama.
Kaulizwa maswali na Zuhura kashindwa kujieleza, kaulizwa ni sheria ipi inaingilia faragha? Yy kaanza kujibu vitu ambavyo havipo. Halafu anasema ni malalamiko ya wananchi na wakati wananchi wenyewe wanamshangaa.
Pia kaulizwa ni sheria ipi inasema majina yachapishwe, yy kaanza maelezo na mikanganyiko kibao. Na hakuna sheria yoyote inayoingilia mambo binafsi ya mtu na kuthibitisha mahakamani umedanganywa ni ngumu.
Poa amejibu kinyume na sheria kuwa kuna ndoa za aina 3 yaani ya Kikristu, Kiislam na ya bomani. Wakati Tanzania tuna ndoa za aina 3 yaani
1. Kidini
2. Kiserikali
3. Kimila
Ndoa za kimila zinatambulika kikatiba na kisheria lakini yy hazitambui
Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli was BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali was kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hill.
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au no ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hill no kwa mujibu was sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
Nia ya RC Makonda ni njema sana lakini ni jambo ambalo yeye kama yeye hana mamlaka kili impliment. Bunge lina mandate kuruhusu kitu kama hicho kutokea. Binafsi sipendi privacy za mtu binafsi ziwe published hivyo.Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli was BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali was kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hill.
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au no ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hill no kwa mujibu was sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
Jokate yuko vizuri sanaWanaume wa dar na mkuu wenu wa mkoa!
Makonda akajifunze hapo kisarawe kwa DC Jokate angalau mbinu muhimu chache za kuleta maendeleo na sio kukomaa na maswala yasiyo na tija.
Kati ya Ma-RC vilaza huyu kapitiliza!! Dar haijatendewa haki kuwa na RC kilaza hivi!!
Huu ndio upumbavu wa waafrikaBBC hawana credibility kabisa. It's a mouthpiece for liberalism. Hawana jema wanaloliongea kuhusu Afrika. Kumbukeni ile kampeni waliyoifanya dhidi ya Mugabe. Halafu wakamgeukia Rais Kagame na ile documentary ya kipuuzi kuhusu mauaji ya kimbari dhidi ya Tutsi. Despicable this organization is. Safi sana Mheshimiwa Makonda kumnyoosha huyu dada wa BBC. Kwa awamu hii wamekwama.
Labda ni maandalizi yake ya kumpokea TL.Bashite bwana,sasa kaamua kuwa jaji wa mahusiano ya watu wazima. Ngoja tuone mwisho wake.
BASHITE alizaliwa kuja kuwa zuzumagic wa taifa, nasikia anajiandaa kugombea urais 2025Makonda is a worthless piece of doodoo!
He has no business getting into other people’s personal businesses.
I have never ever heard any sense come out of his mouth.
Whenever he opens it, all that comes out of it is unadulterated bullshit.
So what? Is it his job to register marriages? What his office does is to issue marriage certificates ONLY. But isn't what he and unfortunately you also, are talking about is the responsibility of NIDA?On the contrary Makonda talks sense but he just doesnt walk the talk.
Marriage registration is a basic legal requirement as for birth or death registration. As to whether the database should be readily available for all to see, thats another matter which needs proper and thorough consultation!