MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli was BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali was kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hill.
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au no ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hill no kwa mujibu was sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
Kama Mkuu wa Mkoa anakuja na Hoja ya Kipumbavu na Kitoto kama hii mbele ya Watu wenye Akili, je Wajumbe wa Nyumba Kumi na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wao watakuja na Hoja gani? Ndiyo maana miaka ya nyuma huko Marais wote waliopita katika nchi hii Teuzi zao hasa katika nafasi aliyonayo Makonda ( ya Ukuu wa Mkoa ) walikuwa pia wanaangalia sana Kigezo cha Umri ( kuwa mkubwa kidogo ) na Ukomavu wa Kiakili ila nasikitika kwa awamu hii ya Tano Teuzi zake nyingi zimekaa Kiupuuzi na Mifano halisi ya Upuuzi ndiyo kama hii tunayoiona hasa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda.