MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Wewe huwa unajipanga barabara ipi?Mpaka huu umri sijawahi kuona mashoga wamejipanga barabarani labda utusaidie wewe
Wewe huwa unajipanga barabara ipi?Mpaka huu umri sijawahi kuona mashoga wamejipanga barabarani labda utusaidie wewe
atakuwa ni makonda mwenyewe anatupima upepo mamaeeTatizo ni ulipotaja makonda
😂😂😂atakuwa ni makonda mwenyewe anatupima upepo mamaee
Uelewa wako ndio umeishia hapo kweli? Hujui namna Katiba inavyoweza kupatikana?Katiba inapatikana kwa kujiuza?
🤣🤣Tatizo ni ulipotaja makonda
Hapo issue ni watoto wadogo, wakubwa haikuhusu, wapo kazini.Katika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza, hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale Ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni, kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwadhania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI, SAA TATU ANAJIUZA KWELI?
Mkate unatafutwa muda wowote iwe asubuhi, mchana, jioni, sembuse saa tatu usikuSaa tatu mkate gani huo?
kilichowaondoa barabarani ni hali ngumu ya uchumi ya wateja wao,watu walikuw na maisha magumu genye wangetoa wapi??unavowaona barabarani ni ishara ya neema, milango inqfunguka, hata bar sasa hivi zinajaa ndo maana kina alex wanalewa siku nzima mpaka wanapiga watu bastola........ Makonda hakufanya lolote zaidi ya kubana watu tu!!Katika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je, haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwazania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu.
(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI SAA TATU ANAJIUZA KWELI?
Kijitonyama sehemu gani?Saa tatu mbali kote huko! K/nyama mchana tuu unapata hudumaa!
Biashara ya ngono/uzinzi/ umalaya ni biashara kongwe kuliko zote .... sasaivi inafanyika kwa mitandao huko tinder nk.kajipange upyaKatika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza, hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale Ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni, kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwadhania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI, SAA TATU ANAJIUZA KWELI?
Nilikosea ni mwananyamala, ukifika mwananyamala hospital uliziaaKijitonyama sehemu gani?
Aulizie ili akapate huduma? Acha kumpeleka shimoni mwezioNilikosea ni mwananyamala, ukifika mwananyamala hospital uliziaa