Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,170
Katika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je, haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwazania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu.
(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI SAA TATU ANAJIUZA KWELI?
Je, haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwazania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu.
(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI SAA TATU ANAJIUZA KWELI?