Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,668
- 4,885
aliwapunguza wapi si aliamua kwaondoa mtaani ili wauzie maofisini kama yeye alivyokua anapakuliwa na mzee baba, kimsingi alitaka wauze kistaarabu kama yeye sio hadharani
Hata hawa wanaojiuza ilikuwa hivyo afadhali mkikaa sehemu za starehe uwafuate huko unaetaka lakini barabarani sioMashoga wanatega maeneo ya club mfano la chaaz kipindi kile sinza
Hela yako tuuWatu wamedigitalize siku hizi wako Instagram Twitter na Badoo. Wewe unadhani Makonda ndio aweze kuzuia Biashara ya toka enzi yule pimbi
Duuuuh hilo jipya tena mkuualiwapunguza wapi si aliamua kwaondoa mtaani ili wauzie maofisini kama yeye alivyokua anapakuliwa na mzee baba, kimsingi alitaka wauze kistaarabu kama yeye sio hadharani
Kuna wanaume wajinga kweli unaenda kununua kweli umeshindwa kuoaHAKUNA BINADAM ATAEWEZA KUIDHIBITI HII BIASHARA ISIPOKUWA SISI WANAUME
"Afadhali mkikaa sehemu za starehe" 😂ohoo mkuu umekosea kutype soma vzr me mwnAume rijaliHata hawa wanaojiuza ilikuwa hivyo afadhali mkikaa sehemu za starehe uwafuate huko unaetaka lakini barabarani sio
Katiba inapatikana kwa kujiuza?KATIBA MPYA ndiyo suluhishi pekee.
😂😂😂Kile kipozeo sometime wife hataki kuguswa nawe upo full charge wanaamua kwenda kwa mitelezo chap anamaliza anasepa. Ila kwa upande mwngin imesaidia kuondoa makesi ya ubakaj coz wapo malaya cheap wa chini ya 5000Kuna wanaume wajinga kweli unaenda kununua kweli umeshindwa kuoa
Au umeoa gharasa unashindwa ku control mke? Kimbilio lako ukanunue hiyo kujiongezea stress maana unakuwa na gualty(hatia) mwenyewe
Pole sana mkuu "wakikaa" lakini wanaoenda pale kuwanunua ni rijali pia mkuu sema mimi nawaona wana stress sidhani ukiwa na akili zako timamu na una mke unaweza kwenda kununua!"Afadhali mkikaa sehemu za starehe" ohoo mkuu umekosea kutype soma vzr me mwnAume rijali
Ushauri wako iendelee hiyo biashara? Na kwa uwazi maeneo tena ya wazi?Kile kipozeo sometime wife hataki kuguswa nawe upo full charge wanaamua kwenda kwa mitelezo chap anamaliza anasepa. Ila kwa upande mwngin imesaidia kuondoa makesi ya ubakaj coz wapo malaya cheap wa chini ya 5000
Hapana sijasema iendelee Lakin pia tukubali kukatae haiwez kuisha leo wala kesho kwnz watu tumebebwa na mentality ya kwamba ni BIASHARA kongwe toka enzi za mitume kwahyo tunaona sawa tu iwepo lakn pia Kwny hii biashara kuna watu wanaipa nguvu ikiwemo viongoz wengine kama wabunge wa dom wanaonunua wanachuo na pia sisi wanaume wengn ambao tunanunua kwa hilo kuisha hii biashara ni wanunuzi kugomea kunnua apo wauzaji watakosa wateja.Ushauri wako iendelee hiyo biashara? Na kwa uwazi maeneo tena ya wazi?
Machangu wanahitajika kwa wateja hapa mjini ili kuondoa stress zao, we angalia Kajala anavyojidhalilisha na mwanawe mtandaoni lakini Basata na Polisi wanamchekelea tu kuona kama anafanya la maana kujibandika mkundu wake mtandaoni huku akicheka.Kipindi kile mpaka defender za kipolisi zilikuwa zinakamata kweli operation za usiku sasa hivi sijui wamewasahau au wamehalalisha
Wajiuze tu Mkuu maisha Magumu hiyo ni njia aliyoichagua kujitafutia kipato.Katika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza, hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale Ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni, kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwadhania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI, SAA TATU ANAJIUZA KWELI?
Ubungo sehemu gani mwamba nami nikapate huduma ni kitambo sijatafuna papuchiKatika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je, haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwazania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu.
(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI SAA TATU ANAJIUZA KWELI?
Si Tanzania tu bali dunia nzima inabadilika. Kuna nchi zimerasimisha kabisa hizi shughuli ingawa kwasababu ya korona sasa zimesitishwa. Changamoto za kwenye ndoa hakuna anayeziombea. Kutafuta mwenza anayefaa kunahitaji muda na si kila mtu anapata huo muda kutokana na kupambana kujikwamua kutoka umasikini.Sikatai ndugu lakini ukiangalia vinguo wanavyovaa na muda huo ni mapema sana mbona hapo nyuma hayakuwepo? Hakuna kuteseka kwenye mahusiano ni uzembe wa mwanaume tu
Hapa Tulianzisha uzi ukitaka kuoa tafuta bikra
Hahahaha Jipu utatumbuliwa MkuuUbungo sehemu gani mkuu hebu tupe direction vizuri ili na mimi nije kunywa maziwa mkuu.
Alikuwa na roho mbaya,na majivuno na u mungu mtu Hilo halina Siri,kwingine alijitahidiKatika wakuu wa mikoa Makonda alijitahidi sana kuwapunguza wadada wanaojiuza, hivi sasa wameongezeka sana ukipita pale Ubungo kuanzia saa tatu usiku tayari wameshajaa.
Je haya mkuu wetu wa mkoa Hayaoni, kibaya zaidi wengine watoto wadogo hata huwezi kuwadhania.
Na kibaya zaidi pale kuna biashara za watu(Kuna jamaa anauza maziwa sisi wadau wakuu)
VIONGOZI MLIANGALIE HILI KAMATENI, SAA TATU ANAJIUZA KWELI?