Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

Akiwa mkuu wa mkoa, tofauti na Dar, itakuwa kama demotion.

Wilaya ya Kinondoni ni zaidi ya Mkoa wowote ule. Kwa kila kitu
 
makonda ni mchapa kazi.... anastahili mkoa kabisa ...
 
Katatua mgogoro mkali wa ardhi Madale.

Mgogoro kautatuaje!? Bado ule mgogoro haujaisha kwani uvamizi wa maeneo ya watu unaendelea!! Huko huko madale na kaza roho ulikotaja.
Ni juzi tu kasaidia eneo la Sumaye lisivamiwe lote na wavamizi.
Mimi nitamuona kweli ni jembe atakaporudisha utawala wa sheria kwenye suala la ardhi na kukomesha uvamizi katika wilaya ya Kinondoni.
Wenye haki zao wapewe na wahuni wanaovamia maeneo ya watu wachukuliwe hatua kali za kisheria. Kwani huu ugonjwa wa uvamizi umeanzia Kinondoni na ukomeshwe kuanzia hapohapo Kinondoni maeneo ya Madale, Kazaroho, Nyakasangwe, Nyakalekwa, Boko Magereza, Kinondo na Mabwe.
Na hasahasa yule Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa huko aliekamatwa na TAKUKURU juzijuzi akiuza maeneo ya watu achukuliwe hatua kali ili iwe fundisho kwa wavamizi wengine.
Approach yake kutatua huo mgogoro ni nzuri ila asimamie haki tu!! Sheria ichukue mkondo wake! Na kusiwe na double standard kwamba Sumaye apewe haki ontime wengine haki zao zicheleweshwe au zipotee!!
Mvamizi wa ardhi ni jambazi na mporaji wa kawaida tu... kwani mambo yanayofanyika ili huo uvamizi ufanikiwe ni unyama wa hali ya juu kabisa!!
 
Yaani watu wanasifia upuuzi pasipo kufikiria kwa makini katika utawala huu Magufuli anawabeba na kuwasifia wale wote waliomsema vibaya Lowasa na kuwaadhibu wale wote waliokuwa wakimsifia na kumsupport Lowasa kwa hiyo Makonda, Nape na Mpanju wananufaika na kauli zao mbaya na za kuudhi juu ya Lowasa.
 
Wa Tanzania tumekuwa watu wanafiki sana. Kwa kauli ninazosoma humu, kulinganisha na nyuzi za mwanzo juu ya Makonda, naona taifa la watu wanaondeshwa kwa mihemko na wanaopenda kutoa majibu rahisi kwa kila swali.
Hata JPM afanyeje, kwa mentality za hivi hakuna maendeleo nchi hii.
 
Na Labda Inawezeana Shule Yako Ni Ndogo Hivyo Huelewi Mambo Ila Tumeshakusamehe. Ni Kwamba Popote Pale Duniani Kiuongozi Mtu Anayeteuliwa Na Rais ( Executive ) Kushika Nafasi Yoyote Kwa Mfano Hapa Kwetu Nchini Tanzania Hasa Ya DC au RC au AMBASSADOR Huwa Ana HADHI Kubwa Na Ya Juu Kuliko Hata Mbunge. Na Kwa Kumalizia Tu Ili Nidhihirishe UPOPOMA Wako Ni Kwamba Nakuachia Swali Ambalo Nataka Unijibu Haraka Upesi Sana Kwamba Mkuu Wa Wilaya Nzima Na Mbunge Wa Jimbo Lililopo Ndani Ya Hiyo Wilaya Nani Ni Mkubwa? Sometimes Muwe Mnaficha Udhaifu Wenu Wa KUFIKIRI.
Sasa matusi ya nini? Umeguswa na ujumbe wa mhusika au umechukizwa na ujumbe wake? Wewe ni mswahili kama msoga..huvutii na you show how raw and low profile person ulivyo...ni mswahili tuu wewe..watu wa pwani wengi nawadharau sana..ingawa kuna wachache nawaheshimu na wewe siyo mmoja wa wale ninaowaheshimu for what you have just written here!!
 
Ingawa siipendi sisiem, lakini kiukweli Makonda ameonyesha uwezo wa kua kiongozi bora na sio bora kiongozi.
Kuna siku nikilikua nimekaa mahali na washkaji tunasogoa, na hapo ndipo ilipokuja issue ya jinsi kinaja Makonda anavyo iongoza wilaya ya kinondoni. Aiseeee.....
Huyu kijana anajitahidi sana pasipo ubishi, na niseme kwamba kumbe Makonda hakupewa nafasi kipindi cha Jakaya
Inawezekana hata hayo maneno "kiongozi bora" hujui maana yake!
 
Hongera Makonda. Nyota yako imewaka. Mh Raisi kakuona... Sasa usiende kulala.

Nadhani leo Mbunge wa Ubungo (Mh Kubenea) ataugua homa...
Mtakuwa watumwa wa watu hadi lini?
Kutwa kujikomba japo jk anawaombea nafasi kwa watawala,
Ok nenda kwake ukamfulie basi akukumbuke na wewe mjaza server....shame upon uuuu
 
Magufuli kamwambia Makonda, siku akipanda cheo watu wasinung'unike, kazi yake imeoneakana na heshima yake imeonekana
Wakuu wa wilaya wengine waige mfano wa Makonda, pengine wanaweza kuambulia.
 
Sasa matusi ya nini? Umeguswa na ujumbe wa mhusika au umechukizwa na ujumbe wake? Wewe ni mswahili kama msoga..huvutii na you show how raw and low profile person ulivyo...ni mswahili tuu wewe..watu wa pwani wengi nawadharau sana..ingawa kuna wachache nawaheshimu na wewe siyo mmoja wa wale ninaowaheshimu for what you have just written here!!

Samahani Naona Hapo Umeandika Maneno Mawili Ya Kiingereza Ambayo Kwa Wordsmith Na Genius Kama Mimi Yamenipa UKAKASI Uliotukuka Kwani Yote Umeyatumia Out Of Context Na Content Na Umewatia Sana Aibu Walimu Wako Wa Kiingereza, Wazazi Wako Pamoja Na Wanafunzi Wenzako Bila Kusahau Na Hizo Shule Zote Ulizosoma. Naomba Unisaidie Hapa Ulipoandika Nanukuu " You Show How Raw And Low Profile Person Ulivyo " Ulikuwa Unataka Kusema Nini Labda Ili Nikuelewe Na Usione Taabu Kusema Kuwa Umekosea Ili Nikusahihishe Sawa? Ndiyo Maana Kila Siku Huwa Nawaambieni Jamani Kama Unajijua Kabisa Kiingereza Chako Ni Cha UGOKONI Na Kutoka Shule Zetu Hizi Za SIAMINI KICHEKO Msiwe Mnakileta Humu Kwa Watu Ambao Tokea Tuko Matumboni Mwa Mama Zetu Tumekuwa Tukikizungumza Na Mpaka Muda Huu Tunaishi Na Wenye Hiyo Lugha Ya Malkia Huku Nilipo.
 
Kwa hiyo makonda mbona unabadili ID, yaani unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Awamu ya tano siyo ya kusifiana ndugu zangu...makonda kafanya nini? kugombana na watu na kuvunja sharia ndo leadership skills? terrible terrible and wonders shall never end! Aisee over my dead body huyo mtu hawezi kuwa my role model..katu katu...simkubali tena magufuli akimpandisha cheo nazidi kukerwa nae...badala ya kupambana na mapolisi vibaka na majambazi anakuja kumsifia huyo chizi ...hana adabu ndo sifa ya makonda..

kuna kitu kimebana koo??

pole

wivu noma
 
Dua la akina Saed Na Mnyika bureeeee.

Wataisoma nambaa. Dua la kuku...

Makonda Wewe, na nahisi Kuwa Unaweza Kuwa wewe ndiwe mwandishi wa Uzi huu, Wewe Kwangu ni Mwanasiasa Mchafu, Kibaraka Mchumia tumbo, anayejipendekeza. Nilisema wewe ni Kama Kunguni na Hakuna Tofauti yoyote wakati ule na leo. Kunguni akitaka damu, Atakunywa ya Mtu yeyote, Mtu mzima, Kichanga, hata ya Mwenye Ukimwi atakunywa Majuto baadaye. Ndivyo walivyo wanasiasa wachafu aina ya Makonda. 1) Wanajikweza, 2) Wanavuka madaraka yao(go out of their mandate) 3) Wanajitangaza Kwa Kila walifanyalo liwe dogo, kubwa, la Upuuzi, watajitangaza. 4) Wako tayari Kutumika na wengine (Ukibaraka) 5) Wanapenda sana Kuchafua wengine. 6) Wanapenda sana Kutumia Kila wawezalo Kukandamiza au kuwekea Kauzibe wengine. 7) Ni washirikina 8) Lolote walifanyalo, hata ikiwa ni kwa jamii end result in Kujipromote wao. 9) Kamwe, Asilani, hawafanyi chochote bila faida yao kisiasa. 10) Kwa Kukosa Lugha nzuri, Wanajifanya sanaaa, Wanajitia sanaaa. Ndio Maana Kwa Lugha Moja Nawaita KUNGUNI, Kuokoa wino wangu na Muda wenu! Kama Huyu sii Makonda Niambieni!

1.JPG
Mpuuzi anazunguka na Askari kila aendako, Utadhani Mkuu wa Nchi, Kumbe Ni Kimkuu cha Wilaya Kinachojikweza. Hii Ndio Kuchapa Kazi au Kujiuza? please hivi Africa tumeingiwa na "Mdudu gani"
 
Back
Top Bottom