Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,220
Makonda anajitahidi kwa chapakazi ukilinganisha na watenjaji wengi kwa maana ya wakuu wa wilaya na Mikoa ila apunguze sifa kidogo kuna sehemu anatumia ubabe sana ila kiukweli anajitahidi.
Nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanamchukia sana Makonda, lakini kwa jinsi alivyolishughulikia suala la wananchi wake kuvamia na kuligawana shamba la Sumaye nilimheshimu.Tukiacha siasa na ushabiki.. Kijana mwenzetu anapiga kazi! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.. Tunaona ni kwa jinsi gani anavyokomaa kuhakikisha anaendana na kasi ya Muheshimiwa.. Raisi JPM..
Ushajipatia kibarua cha kudumu cha kupika kwa makonda
Kweli kabisa na wala si muigizaji kwa kuwa alianza mapema sana toka enzi za JK na alikuwa mwanzoni anaonekana kama anacheza ngoma peke yake lakini kwa kweli nimemuona ni Mtawala,mbunifu na anajua unachofanya.Ingawa siipendi sisiem, lakini kiukweli Makonda ameonyesha uwezo wa kua kiongozi bora na sio bora kiongozi.
Kuna siku nikilikua nimekaa mahali na washkaji tunasogoa, na hapo ndipo ilipokuja issue ya jinsi kinaja Makonda anavyo iongoza wilaya ya kinondoni. Aiseeee.....
Huyu kijana anajitahidi sana pasipo ubishi, na niseme kwamba kumbe Makonda hakupewa nafasi kipindi cha Jakaya
Anaendana na kasi ya JPM tht's why. ila nina wasiwasi na Sadiki maana kaambiwa Ole wake!
J3 nenda ofsn kwake hapo magomenisamahani mkuu naomba usichukulie kama nakukosoa au simpendi makonda.
natakajua ni yapi kafanya huyu kijana maana mpaka rahsi kumsifia niktu kkubwa hasa raisnjembe kama magufuri.
tafadhari
Hivi kwa nini mnaukataa ukweli? Mzee Warioba alitoa maelezo baada ya kuona bavicha unawehuka kuwa Makonda alimsaidia nyie mnafosi alimpiga, endeleeni kulalama, ila ndo mrithi wa Meck Sadick, aendelee kupiga kazi, kawaulize kule Madale kazaroho kafanyaje, sio huko tu, ni kino yote! Endeleeni na chuki za kipumbavu maana wachapakazi hawatakiwi ukawa, daima mnawapingaga.Hatukatai ila Naye analo la kujifunza .. mimi na mkubali sana isipokuwa ni kimkumbuka mzee warioba basi tena.
Si kila mtu ukawaa ni dhambi unatulisha hiyooo....Hivi kwa nini mnaukataa ukweli? Mzee Warioba alitoa maelezo baada ya kuona bavicha unawehuka kuwa Makonda alimsaidia nyie mnafosi alimpiga, endeleeni kulalama, ila ndo mrithi wa Meck Sadick, aendelee kupiga kazi, kawaulize kule Madale kazaroho kafanyaje, sio huko tu, ni kino yote! Endeleeni na chuki za kipumbavu maana wachapakazi hawatakiwi ukawa, daima mnawapingaga.
Katatua mgogoro mkali wa ardhi Madale.samahani mkuu naomba usichukulie kama nakukosoa au simpendi makonda.
natakajua ni yapi kafanya huyu kijana maana mpaka rahsi kumsifia niktu kkubwa hasa raisnjembe kama magufuri.
tafadhari
Yes. trueHe deserve it