Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Juhudi zipi?Hmm kweli wewe ni ubungo uliolala. Yani hata juhudi za bwana mdogo Makonda huzioni?
Juhudi zipi?Hmm kweli wewe ni ubungo uliolala. Yani hata juhudi za bwana mdogo Makonda huzioni?
Mkuu achana nao hawa vibaraka wa magamba, hakuna chochote!Juhudi zipi?
Yap anajituma sanaMkuu....
Naamini kijana anang'arishwa na juhudi zake binafsi, pamoja na kukitendea haki kiti alicho pewa akalie kabla hakija mponyoka
Jamani mlioko wilaya ya Kinondoni twambieni huyo Makonda anafanya kazi gani iliyotukuka kiasi cha kupewa chapuo?
Jamani mlioko wilaya ya Kinondoni twambieni huyo Makonda anafanya kazi gani iliyotukuka kiasi cha kupewa chapuo?
Kweli kwa kazi hizo anastahili kupewa sifa! Vip hali ya usalama Kinondoni kwa sasa ikoje? Wale vibaka na wezi wa Mwananyamala Komakoma/kwa mama zakaria/Tandale kwa tumbo/kwa bi nyau/Kigogo kifa/ n.k ameshawamaliza? Maana yeye ndo anahusika na masuala ya ulinzi na usalama...........Au anapewa sifa za bure!Kumtukana Lowassa
Kumdhalilisha Kubenea
Kumfanyia Fujo Warioba
Kufanana fanana Na Mzee Nanii Kwa Kupenda Kujitangaza na Kujikweza, Upo Mzee wangu.
Nahisi Atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Kwenye Wabunge na Mamayor wa UKAWA
Kama ni ukuu wa mkoa Dar basi fedheha it's mpata. Kamshindwa Kubenea pekee ndio atawaweza akina Waitara,Mdee Nk kwa umoja wao? Kama anapewa ukuu huo kama mkakati basi kashindwa kabla ya kuanzaKumtukana Lowassa
Kumdhalilisha Kubenea
Kumfanyia Fujo Warioba
Kufanana fanana Na Mzee Nanii Kwa Kupenda Kujitangaza na Kujikweza, Upo Mzee wangu.
Nahisi Atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Kwenye Wabunge na Mamayor wa UKAWA
Kaa utulize matak....yako atawanyooosha vzr. huyo sio muomba kura/kula kwa wananchi
ni mwendo wa kuchapa tu wazee vibaoMagufuli na makonda ni combination hatari sana hongera sana jpm kutambua utendaji wa makonda.
Kaka mkubwa magazeti ya kina Kubenea yamekupoteza kabisa, unashindwa hata kuongea mambo unayoweza kuyathibitisha.MKUU MPYA WA MKOA WA DSM AJAE MAKONDAKTA! KUMBE KUMPIGA WAZIRI MKUU MSTAAF, NA KUMKASHIFU MH LOWASSA HAPO NDO KAZI YAKE ILIPOONEKANA! CCM NI WAPUUZI MNO! Mmptuuuuu!!!
Na kakipeperushi kao kaliko fungiwa...Dua la akina Saed Na Mnyika bureeeee.
Wataisoma nambaa. Dua la kuku...
Hujielewi mkuu....katafute mawio lililotoa picha ikisema makonda anamfunga riz 1 viatu, itakufariji sana...Yaani watu wanasifia upuuzi pasipo kufikiria kwa makini katika utawala huu Magufuli anawabeba na kuwasifia wale wote waliomsema vibaya Lowasa na kuwaadhibu wale wote waliokuwa wakimsifia na kumsupport Lowasa kwa hiyo Makonda, Nape na Mpanju wananufaika na kauli zao mbaya na za kuudhi juu ya Lowasa.
UKAWA ni watu wajinga sana,,, samahan kusema hivyo ila imenilazimu, leo hii hawana la kusema juu ya makondaWa Tanzania tumekuwa watu wanafiki sana. Kwa kauli ninazosoma humu, kulinganisha na nyuzi za mwanzo juu ya Makonda, naona taifa la watu wanaondeshwa kwa mihemko na wanaopenda kutoa majibu rahisi kwa kila swali.
Hata JPM afanyeje, kwa mentality za hivi hakuna maendeleo nchi hii.