barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Nimewahi sema kwa kum-quote bavicha mmoja humu jf kuwa Makonda anaenda kuwa mkuu wa mkoa kutokana na uchapa kazi wake, bavicha wakavimba kisa kumtetea Kubenea na eti anatumia sheria vibaya ya kusweka maafisa ardhi mdani, HAYA SASA, hayawi hayawi, jamaa ndo huyooo anapanda ngazi tena bila ya upendeleo, tumemuona akipiga kazi.
Tena abaki hapa hapa Dar.
Tena abaki hapa hapa Dar.